Wapangaji wetu wananifanya nisiwe na hamu ya kurudi kwetu kipindi hiki cha sikukuu.

Wapangaji wetu wananifanya nisiwe na hamu ya kurudi kwetu kipindi hiki cha sikukuu.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Nimepamiss sana kwetu-moshi,lakin tatzo ni wapangaji wetu ndio wanaofanya nisiwe na mzuka wa kurudi kwetu,chumba changu ninachokitumia kule home kiko uani na kimepakana na vingne vya wapangaji,sasa tatzo ni kwamba,kuna mbaba mmoja ambae kiumri ni sawa na mzee wangu,ameoa kabinti kadogo dogo,yani wao usiku kucha ni kutiana tu,afu huyo binti anapgaga kelele hadi cku moja watu wakatoka nje wakidhani labda anataka kufa,sa me najckiaga aibu sana,hasa pale ninapokutanisha uso wangu na wao...!!nimeona niendelee tu kukaa huku mjini kuepuka fedheha.
 
Nimepamiss sana kwetu-moshi,lakin tatzo ni wapangaji wetu ndio wanaofanya nisiwe na mzuka wa kurudi kwetu,chumba changu ninachokitumia kule home kiko uani na kimepakana na vingne vya wapangaji,sasa tatzo ni kwamba,kuna mbaba mmoja ambae kiumri ni sawa na mzee wangu,ameoa kabinti kadogo dogo,yani wao usiku kucha ni kutiana tu,afu huyo binti anapgaga kelele hadi cku moja watu wakatoka nje wakidhani labda anataka kufa,sa me najckiaga aibu sana,hasa pale ninapokutanisha uso wangu na wao...!!nimeona niendelee tu kukaa huku mjini kuepuka fedheha.


Mmmmmmh...kwanini upate fedheha wakati wao wapo na business zao kwa raha zao...tena wanandoa!!...labda kama unajichimbia sababu ya ishu nyingine sio hiyo.
 
Angalia watu wasije kufikiria kuwa unakataka hako kabinti kadogo!
 
Acha hizo wewe, kama wanakukera washawishi wazazi wako wawatimue!
 
Na ww si uoe na nyie mpige kelele.
 
Chukua wako na wewe wakianza kupiga makelele na wako apige
 
hivi kuna ambao hawapigagi kelele???
yani kimya kimya kama mnangoja majibu ya HIV test......hahahaha
 
hivi kuna ambao hawapigagi kelele???
yani kimya kimya kama mnangoja majibu ya HIV test......hahahaha

hao wanapga kelele kama wanauana mkuu.
 
Back
Top Bottom