N NAKWEDE JF-Expert Member Joined Aug 1, 2007 Posts 27,970 Reaction score 35,168 Sep 23, 2016 #41 Daudi Mchambuzi said: [emoji51] [emoji51] masumbeni Click to expand... Umenikumbusha Minja Secondary kwa mzee Alfred Mfwangavo
Daudi Mchambuzi said: [emoji51] [emoji51] masumbeni Click to expand... Umenikumbusha Minja Secondary kwa mzee Alfred Mfwangavo
Athy Sal JF-Expert Member Joined Dec 23, 2012 Posts 507 Reaction score 339 Sep 23, 2016 #42 Kasinde said: Wakiongozwa na mshana jr hii ni hatari kwa usalama wenu barabarani heheheheee. Wapare ni watani zangu hivo tucheke wote tuu ila mna tabasamu zurii. .... kama la huyu kaka kwenye picha heheheh. View attachment 403772 Wakedhije wa kaka. Click to expand... Kubana matumizi pamoja na "improvisation" (ubunifu wa kifaa kwa kutumia mazingira yaliyomzunguka) 😀 😀
Kasinde said: Wakiongozwa na mshana jr hii ni hatari kwa usalama wenu barabarani heheheheee. Wapare ni watani zangu hivo tucheke wote tuu ila mna tabasamu zurii. .... kama la huyu kaka kwenye picha heheheh. View attachment 403772 Wakedhije wa kaka. Click to expand... Kubana matumizi pamoja na "improvisation" (ubunifu wa kifaa kwa kutumia mazingira yaliyomzunguka) 😀 😀
AlphaPii JF-Expert Member Joined May 15, 2015 Posts 1,168 Reaction score 1,852 Sep 23, 2016 #43 kwikwikwiiiiiiiii
ngaboru JF-Expert Member Joined Mar 3, 2016 Posts 2,069 Reaction score 5,411 Sep 25, 2016 #44 Hahahahahahahah waparee shikamoo ila ni wakarimu sanaaa nilisoma ugweno.