Wape mipaka ya kukufahamu na usikubali waivuke, kuwa mkali kwenye hilo

Wape mipaka ya kukufahamu na usikubali waivuke, kuwa mkali kwenye hilo

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
KILA MTU MUWEKEE UKOMO WA KUKUFAHAMU.

1. Kuna watu waishie kujua majina yako tu.

2. Kuna watu ruhusu wafahamu zaidi ya majina yako.

3. Kuna watu zuia kabisa wasijue chochote kuhusu familia yako.

KWANINI KUWEKA UKOMO?
Kwa sababu kadri unavyoruhusu kufahamika ndivyo unajiweka wazi na kujiondolea ulinzi hivyo inatakiwa uwaelewe zaidi watu kuliko wao wanavyokuelewa ili ujue nani anastahili kufahamu kipi kutoka kwako ufikia ndoto zako.
 
mimi nilivyo nikiwa kwangu niko huru nikivuka kizingiti cha mlango haijalishi hata kama tulizaliwa tumbo moja tupigiane sim kuna ishu ya maana sio kutaka kujua my next move napenda kubaki kwenye njia yangu tu na kamwe sipendi ingilia mambo hazinihusu naweza kukuta unajisaidia haja kubwa barabaran na uko smart na hata nisijisumbue na ww i dont care watu wananichukuliaje aslong as nahudhuria mambo ya msingi ya kijamii na am happy bas masikio nimeziba sisikii sioni
 
Hii technology nimeitumia Kwa miaka kadhaa kwenye mikoa mbalimbali.....
1. Atakama umenizoea Kwa miaka 3, ukileta chenga nakuzingua hapohapo.
2. Sitaki mtu kuwa na mazoea sana nyumbani kwangu.
3. Naweza kusitisha mazoea Kwa muda wowote bila kuangalia tumezoeana Kwa muda gani.
4. 95% ya mishe zangu za ujambazi nafanya mwenyewe.
5. Sitaki mazoea na bodaboda.
6. Nikizungua naomba radhi
 
Hii technology nimeitumia Kwa miaka kadhaa kwenye mikoa mbalimbali.....
1. Atakama umenizoea Kwa miaka 3, ukileta chenga nakuzingua hapohapo.
2. Sitaki mtu kuwa na mazoea sana nyumbani kwangu.
3. Naweza kusitisha mazoea Kwa muda wowote bila kuangalia tumezoeana Kwa muda gani.
4. 95% ya mishe zangu za ujambazi nafanya mwenyewe.
5. Sitaki mazoea na bodaboda.
6. Nikizungua naomba radhi
Namba 4 🤣🤣
 
Hii technology nimeitumia Kwa miaka kadhaa kwenye mikoa mbalimbali.....
1. Atakama umenizoea Kwa miaka 3, ukileta chenga nakuzingua hapohapo.
2. Sitaki mtu kuwa na mazoea sana nyumbani kwangu.
3. Naweza kusitisha mazoea Kwa muda wowote bila kuangalia tumezoeana Kwa muda gani.
4. 95% ya mishe zangu za ujambazi nafanya mwenyewe.
5. Sitaki mazoea na bodaboda.
6. Nikizungua naomba radhi
No 4🤣🤣🤣hata washirika wako?unajambazikaje mwenyewe
 
Hii technology nimeitumia Kwa miaka kadhaa kwenye mikoa mbalimbali.....
1. Atakama umenizoea Kwa miaka 3, ukileta chenga nakuzingua hapohapo.
2. Sitaki mtu kuwa na mazoea sana nyumbani kwangu.
3. Naweza kusitisha mazoea Kwa muda wowote bila kuangalia tumezoeana Kwa muda gani.
4. 95% ya mishe zangu za ujambazi nafanya mwenyewe.
5. Sitaki mazoea na bodaboda.
6. Nikizungua naomba radhi
Nzuri
 
Kama huna hela hueshimiki hata ujifungie chumbani.. Tutafuteni Hela
 
Wacha ganye watu mpka wakuundie tume, endesha range new model ila wakluone unauza madafu au umachinga
 
Back
Top Bottom