Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ni roho mbaya tu huwa wanaelewa ila ni husda tu [emoji1] [emoji1787]Kuna watu hua wanakurupuka tu ku comment bila hata kuielewa thd kwanza,bora umemfahamisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni roho mbaya tu huwa wanaelewa ila ni husda tu [emoji1] [emoji1787]Kuna watu hua wanakurupuka tu ku comment bila hata kuielewa thd kwanza,bora umemfahamisha.
Origin ya mtu hua haibadiliki,wale Niggas wa US huwezi kuwaita wazungu,ni wamarekani wenye Asili ya Africa,Sa miaka.100 bado unawaita wazenji? 😅😅😅 kuwa serious bhana
Wasomali, wahindi na waarabu waliozaliwa bongo na kuishi 200 years bado ni walewale tuSa miaka.100 bado unawaita wazenji? [emoji28][emoji28][emoji28] kuwa serious bhana
Sijasema ORIGIN coz hata hapa.tz origin ni WAGOGO na sijui kabila gani jingeni, tuliobaki ni WAHAMIAJI kutoka maeneo (territories) zingine wakati huo hazijawa nchiOrigin ya mtu hua haibadiliki,wale Niggas wa US huwezi kuwaita wazungu,ni wamarekani wenye Asili ya Africa,
Kizazi cha Mo Dewji kina zaidi ya hiyo miaka 100 toka kilipohamia Africa ila haibadilishi kua Origin ya Mo ni India.
Ila ni watz sio?Wasomali, wahindi na waarabu waliozaliwa bongo na kuishi 200 years bado ni walewale tu
Ndio, ila asili yao haibadilikiIla ni watz sio?
So wangoni ni wasauzi? Maana walihamia songea miaka 203 iliyopitaNdio, ila asili yao haibadiliki
Na kumuita mhindi ni sawa pia, ila kwa uzuri tu
Utanzania ni uraia,mtu yeyote Duniani anaweza kua mtanzania kama ata Apply uraia wa Tz na kukubaliwa basi atakua ni mtanzania,Ila ni watz sio?
Uraia ni ulipozaliwa mkuuSo wangoni ni wasauzi? Maana walihamia songea miaka 203 iliyopita
Ruto ichukuwe na Pemba kabisa.Rais Ruto amewapa uraia wa Kenya Wapemba Elfu Saba (7,000) leo hii Jumamosi
Wakiishi maeneo ya Kilifii
Wapewa National Id, Birth certificates n.k
Wamekuwa wakiishi huko kwa miaka 100 na hata baada ya Uhuru Serikali iligoma kuwapa uraia wa nchi hiyo
Shida ipo kwa hawa wa kwetu hukuQatar imeacha funzo kubwa sana kwa upande wa pili, kwenye mashindano ya kombe la dunia imewadhihirishia wazungu, waafrika, wachina n.k wasio na dini kuwa waarabu na waislamu kwa ujumla ni watu safi, watu wazuri wasiopenda vita. Wewe utakaejibu comment hii ukiwa umevimba pole sana
Hongereni sana wazanzibari mlioko huko kenya kwa kupewa uraia
ok?Hiyo ndio trending news Kwa Sasa
![]()
Kenya grants citizenship to stateless Pemba community
President William Ruto issued them with ID cards, birth certificates and passports at a ceremony in Kilifi.nation.africa
Akimchukua Sa100 maana yake amekuchukua nawewe....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ange mchukua na Saa 100 ingependeza