Wapemba kupimwa Ebola ni aina ya Uzayuni

Wapemba kupimwa Ebola ni aina ya Uzayuni

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wiki iliyopita nilipata ugeni wa ndugu yangu kutoka Pemba aliyeamua kutumia meli ya Azam inayotia nanga Tanga.Katika mazungumzo yetu alisema kila kitu katika safari kilikuwa shuwari lakini adha kubwa waliyoipata ni wakati wa kuteremka.Kwani lango kubwa la meli halikufunguliwa badala yake abiria wote na mizigo yao na watoto mgongoni walilazimishwa kupanda ngazi nyembamba ili wote haatimae wapite kwenye uchochoro mmoja wa meli kupata mlango kwenye mhudumu aliyekuwa na tochi ya kupima Ebola.

Kwa nje zoezi hili linaonekan lina nia njema ya kulinda afya za watanzania.Hata hivyo ukifikiri sana na kuonisha na mwahala mwengine duniani kwenye ukandamizaji kama ilivyo kule Palestina utagundua kuwa zoezi lote hilo lina mkono wa ukandamizaji kisiasa na kudhalilisha watu wa jamii fulani kuliko huko kulinda afya.

Pemba iko mbali sana baharini na mashariki ya kule kuliko na chimbuko la Ebola,Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo.Hakuna lango lolote la kuingia Tanzania,mfano bandari au uwanja wa ndege wa kimataifa.Na wala hakujapatikana wagonjwa wenye maradhi hayo.

Hali hii inafanana sana na kule Palestina ambako mazlayuni wameweka vikwazo vingi vya kiusafiri kwa wapalestina.Kila wanakoelekea kuna mageti na kumtembelea ndugu aliye masafa yasiyofika nusu kilomita basi inaweza ikakuchukua siku nzima na gharama kubwa sana pamoja na kudhoofisha kiafya.

Wanaofanya hivyo si kwamba kuna faida yoyote halisi waipatayo bali ni furaha tu moyoni kuona binadamu mwenzake akidhalilika mbele yake.Maudhi hayo hawafanyiwi vijana tu wanaohofiwa kuwa wanaweza kuzua purukushani kwa hamaki za kuonewa,bali hufanyiwa wazee,watoto na wanawake na bila kuona vibaya.
 
Hapo ndio utauona ubovu wa Wateule
Yaani Abiria wa SARATOGA/ADVENTURE(Kigoma) FRESTER/DARLUX (Kahama, Kagera)
TRINITY(Kigali) TAQWA/ FALCON /CLASSIC (Zambia, D R C , Zimbabwe.
Hawapimwi
Wanapimwa watu kutoka Pemba
Lol……
Kwanini wasijitenge tu tukauza na Viza kabisa
 
Wiki iliyopita nilipata ugeni wa ndugu yangu kutoka Pemba aliyeamua kutumia meli ya Azam inayotia nanga Tanga.Katika mazungumzo yetu alisema kila kitu katika safari kilikuwa shuwari lakini adha kubwa waliyoipata ni wakati wa kuteremka.Kwani lango kubwa la meli halikufunguliwa badala yake abiria wote na mizigo yao na watoto mgongoni walilazimishwa kupanda ngazi nyembamba ili wote haatimae wapite kwenye uchochoro mmoja wa meli kupata mlango kwenye mhudumu aliyekuwa na tochi ya kupima Ebola.

Kwa nje zoezi hili linaonekan lina nia njema ya kulinda afya za watanzania.Hata hivyo ukifikiri sana na kuonisha na mwahala mwengine duniani kwenye ukandamizaji kama ilivyo kule Palestina utagundua kuwa zoezi lote hilo lina mkono wa ukandamizaji kisiasa na kudhalilisha watu wa jamii fulani kuliko huko kulinda afya.

Pemba iko mbali sana baharini na mashariki ya kule kuliko na chimbuko la Ebola,Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo.Hakuna lango lolote la kuingia Tanzania,mfano bandari au uwanja wa ndege wa kimataifa.Na wala hakujapatikana wagonjwa wenye maradhi hayo.

Hali hii inafanana sana na kule Palestina ambako mazlayuni wameweka vikwazo vingi vya kiusafiri kwa wapalestina.Kila wanakoelekea kuna mageti na kumtembelea ndugu aliye masafa yasiyofika nusu kilomita basi inaweza ikakuchukua siku nzima na gharama kubwa sana pamoja na kudhoofisha kiafya.

Wanaofanya hivyo si kwamba kuna faida yoyote halisi waipatayo bali ni furaha tu moyoni kuona binadamu mwenzake akidhalilika mbele yake.Maudhi hayo hawafanyiwi vijana tu wanaohofiwa kuwa wanaweza kuzua purukushani kwa hamaki za kuonewa,bali hufanyiwa wazee,watoto na wanawake na bila kuona vibaya.
Nani kakwambia kile ni kipimo cha ebola
 
Kwa hyo mzee baba ukapimwa Ebola kiulazima [emoji16][emoji16][emoji16]

Na bado wangewapima mpaka ngoma kabisa
 
Ni sawa na kupitisha noa iliyobeba familia kwenye mizani ya magari huku ukiiacha scania iliyobeba mchanga 😂
 
Hapo ndio utauona ubovu wa Wateule
Yaani Abiria wa SARATOGA/ADVENTURE(Kigoma) FRESTER/DARLUX (Kahama, Kagera)
TRINITY(Kigali) TAQWA/ FALCON /CLASSIC (Zambia, D R C , Zimbabwe.
Hawapimwi
Wanapimwa watu kutoka Pemba
Lol……
Kwanini wasijitenge tu tukauza na Viza kabisa

Hao ukipita kila border lazima upimwe, mutukula, Rusumo, Namanga, Tunduma, Kabanga, Silari, Manyovu-Munanila kote huko wanapimwa, Ukumbuke unguja na pemba ni nje ya nchi sio ndani ya nchi nao lazima wapimwe
 
Hao ukipita kila border lazima upimwe, mutukula, Rusumo, Namanga, Tunduma, Kabanga, Silari, Manyovu-Munanila kote huko wanapimwa, Ukumbuke unguja na pemba ni nje ya nchi sio ndani ya nchi nao lazima wapimwe
Huku kwenngine mantiki inakubali angalau kujikomba kwa WHO wasijewakazuia pesa zao..lakini Pemba tena!. Halafu huu uunje wa nchi ni kwa vitu kwa shida shida tu lakini kwa maslahi mengine Unguja na Pemba ni ndani ya nchi.
 
Nani kakwambia kile ni kipimo cha ebola
Mbona wafanyao hiyo shughuli wanasema wanapima hilo tatizo. Na kama si ebola ni kipimo cha nini. Na kama ni kipimo kisichojulikana basi ni usumbufu tu usio na maana.
 
Ami,
Inawezekana una hoja ila kuhusu kupimwa EBOLA sidhani kuna uzayuni hapo,wewe utakuwa na ka uzayuni kwenye akili yako zaidi.

ENYI WAPEMBA...Peaneni elimu kwa watoto wenu na hakika mtakuwa taifa kubwa.Acheni kufikiri kwamba kuna ukombozi nje ya kupata elimu.Elimu ndio msingi wa mabadiliko

Kila la heri
 
Haya basi huu ni wakati Wapemba muongee lugha kali itakayoleweka na watawala.
Sidhani kama wapemba wana lugha tofauti na sauti ya kusikika mbali. Isipokuwa yuko yule anayefahamu lugha zote na sauti hata za kunong'ona.Huyo aliyetukuka akiingilia kati basi hata viziwi husikia na wenye maguvu hunywea wakawa wagonjwa kuliko ugonjwa wa Ebola.
 
Hakuna watu wanaoitwa mazayuni duniani wala hakuna neno zayuni kwenye lugha yoyote duniani wewe sheikh ubwabwa.
.
Kuna neno Sayuni na wasayuni. Maislamu mna kazi sana
Mkuu kwenye mambo mengine kama hujui ni vyema kuuliza. Wazayuni (zionists) wapo kilugha na kiuhalisia. Na hapa Muislamu inahusianaje? Usifike mahali ukatishwa na kivuli chako.
 
Wiki iliyopita nilipata ugeni wa ndugu yangu kutoka Pemba aliyeamua kutumia meli ya Azam inayotia nanga Tanga.Katika mazungumzo yetu alisema kila kitu katika safari kilikuwa shuwari lakini adha kubwa waliyoipata ni wakati wa kuteremka.Kwani lango kubwa la meli halikufunguliwa badala yake abiria wote na mizigo yao na watoto mgongoni walilazimishwa kupanda ngazi nyembamba ili wote haatimae wapite kwenye uchochoro mmoja wa meli kupata mlango kwenye mhudumu aliyekuwa na tochi ya kupima Ebola.

Kwa nje zoezi hili linaonekan lina nia njema ya kulinda afya za watanzania.Hata hivyo ukifikiri sana na kuonisha na mwahala mwengine duniani kwenye ukandamizaji kama ilivyo kule Palestina utagundua kuwa zoezi lote hilo lina mkono wa ukandamizaji kisiasa na kudhalilisha watu wa jamii fulani kuliko huko kulinda afya.

Pemba iko mbali sana baharini na mashariki ya kule kuliko na chimbuko la Ebola,Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo.Hakuna lango lolote la kuingia Tanzania,mfano bandari au uwanja wa ndege wa kimataifa.Na wala hakujapatikana wagonjwa wenye maradhi hayo.

Hali hii inafanana sana na kule Palestina ambako mazlayuni wameweka vikwazo vingi vya kiusafiri kwa wapalestina.Kila wanakoelekea kuna mageti na kumtembelea ndugu aliye masafa yasiyofika nusu kilomita basi inaweza ikakuchukua siku nzima na gharama kubwa sana pamoja na kudhoofisha kiafya.

Wanaofanya hivyo si kwamba kuna faida yoyote halisi waipatayo bali ni furaha tu moyoni kuona binadamu mwenzake akidhalilika mbele yake.Maudhi hayo hawafanyiwi vijana tu wanaohofiwa kuwa wanaweza kuzua purukushani kwa hamaki za kuonewa,bali hufanyiwa wazee,watoto na wanawake na bila kuona vibaya.
.Ebola huweza kuenezwa na wale wanaopenda kula popo
 
Ami,
Inawezekana una hoja ila kuhusu kupimwa EBOLA sidhani kuna uzayuni hapo,wewe utakuwa na ka uzayuni kwenye akili yako zaidi.

ENYI WAPEMBA...Peaneni elimu kwa watoto wenu na hakika mtakuwa taifa kubwa.Acheni kufikiri kwamba kuna ukombozi nje ya kupata elimu.Elimu ndio msingi wa mabadiliko

Kila la heri
Mkuu! mimi nnakuhakikishia tu kwamba Wapemba, kama unavyowaita, wana elimu pengine kuliko wewe na nduguzo.
 
Mkuu kwenye mambo mengine kama hujui ni vyema kuuliza. Wazayuni (zionists) wapo kilugha na kiuhalisia. Na hapa Muislamu inahusianaje? Usifike mahali ukatishwa na kivuli chako.
Wazayuni ni lugha gani?
.
Kiswahili wanaitwa Wasayuni/Sayuni
Kiispaniola wanaitwa Sionista
Kifaransa wanaitwa Sionite
Kiarabu wanaitwa الصهيوني
Kiingereza wanaitwa Zionist.
Kiebrania ni צִיּוֹנוּת
.
Chuki zenu Waislamu ni mbaya sana mnawaita Mazayuni yani kitu msichokipenda hata ndani yenu lazima mkianze na "MA" mfano Suni wanawaita shia (mashia) na shia wanawaita suni (masuni) shenzy kweli nyie.
Usisahau nataka uniambie Zayuni/Wazayuni ni lugha gani
 
Wazayuni ni lugha gani?
.
Kiswahili wanaitwa Wasayuni/Sayuni
Kiispaniola wanaitwa Sionista
Kifaransa wanaitwa Sionite
Kiarabu wanaitwa الصهيوني
Kiingereza wanaitwa Zionist.
Kiebrania ni צִיּוֹנוּת
.
Chuki zenu Waislamu ni mbaya sana mnawaita Mazayuni yani kitu msichokipenda hata ndani yenu lazima mkianze na "MA" mfano Suni wanawaita shia (mashia) na shia wanawaita suni (masuni) shenzy kweli nyie.
Usisahau nataka uniambie Zayuni/Wazayuni ni lugha gani
Ukisema Hawa kwa Kiswahili wanaitwa Sayuni ni wapi? Nilipotaja Wazayuni niliainisha pia kwa Kiingreza kuwa wanaitwa zionists. Kwa hivyo bado ndivyo ilivyo kwamb Wazayuni wapo na hiyo ni kwa Kiswahili. Ila unao uhuru wa kupenda na kuchukia wawe Waislamu au wengine na hiyo kwa kawaida huwa haibadilishi chochote kuwepo kwao.
 
Maradhi hayana macho ..wala hayachagui nani na wapi yaingie!
Kwa jinsi wanavyoranda watu kibiashara...
Kupima ni bora...japo
 
Ukisema Hawa kwa Kiswahili wanaitwa Sayuni ni wapi? Nilipotaja Wazayuni niliainisha pia kwa Kiingreza kuwa wanaitwa zionists. Kwa hivyo bado ndivyo ilivyo kwamb Wazayuni wapo na hiyo ni kwa Kiswahili. Ila unao uhuru wa kupenda na kuchukia wawe Waislamu au wengine na hiyo kwa kawaida huwa haibadilishi chochote kuwepo kwao.
Ubishi mwingine haujawahi kuwa na maana hata kidogo.
.
Wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni hawatatikisika milele na milele(Zaburi.125).
.
Furahini, basi, enyi wana wa Sayuni, mkamfurahie Bwana, Mungu wenu; kwa kuwa yeye huwapa ninyi mvua ya masika, kwa kipimo cha haki, naye huwanyeshea mvua, mvua ya masika, na mvua ya vuli, kama kwanza.
Yoeli 2 :23

Nipe tafsiri ya neno Zayuni au Wazayuni na uniambie linapatikana katika kamusi gani waislamu always ni haters wa watu wasio amini mnachoamini nyinyi.
Biblia hiyo ya kiswahili inaita Sayuni/ wana sayuni na kuna mabinti kibao hujawahi kukutana nao wanaitwa sayuni au unaishi pemba?
Koran pekee na waislamu ndio huita Mazayuni/Zayuni nashangaa wewe kimekupata nini umeboresha kidogo (WAZAYUNI) 😝😝
 
Back
Top Bottom