Tofauti za herufi kwenye matamshi ni kitu cha kawaida.Muhimu ni lile linalokusudiwa.Ndio maana tuliona baadhi ya watu waliofukuzwa kazi kwa tofauti ya herufi za majina yao pamoja na kuwa ni wataalamu wa kazi zao ilikuwa ni uonevu.
Kwa hiyo na nyie maislamu mnafanya makosa haya kwa makusudi?
Kwa kuwaita watu wa Sayuni Mazayuni
Kuhusu mazayuni na wewe unasema masayuni tutabishana mpaka asubuhi lakini watu tunaokusudia ni hao hao
Hakuna pahala nimetumia hilo neno (MASAYUNI) wanaitwa Wasayuni nimekupa kazi ya kuniambia neno mazayuni ni lugha gani naona unajiuma uma tu kwa michuki yenu maislamu
wenye sera za ukandamizaji kwa wenzao kwa gharama yoyote ile.
Unaposema mazayuni na waislamu ni nani wakatili jibu ni hao mazayuni.
Ngoja tufanye ulinganifu kati ya Wasayuni na maislamu tuone nani ana sera ya ukandamizaji.
1. Israel mwanamke anatembea anavyotaka na bila kuruhusiwa na yeyote.
Saudia mwanamke hawezi kutoka nyumbani bila kumuaga mwanaume na atakapokwenda lazima aende na mwangalizi (guide) wa kiume.
2. Israel wanawake wanalitumikia jeshi lao.
Saudia wanawake wameruhusiwa kujiunga na jeshi miaka ya hivi karibuni na wako restricted sana.
3. Raia wa Israel wana haki ya kutoa maoni. Saudi hamna hicho kitu
4. Kwenye mikahawa, sehemu za kufanyia kazi, sherehe wanaume na wanawake wanashirikiana there's no segregation.
Saudia wanaume na wanawake wanatengana kwa kila kitu maislamu mnafikiria ngono mno.
Ushahidi kaika dunia ni mwingi sana.Unalijua gereza kubwa zaidi duniani?.Kama hulijui ni Gaza
Ndugu yangu
lukwangul njoo uyaone maislamu haya yanasema Gereza kubwa duniani lipo Gaza 😝😝
Hili hapa Gereza kubwa zaid duniani ni kisiwa kilichoundwa na mwanadamu.
Linaitwa Rikers Island, New York city.
La pili lipo Los Angeles linaitwa Twin towers correctional na la tatu lipo silivri Turkey.
waislamu wamefungiwa kwa miaka kadhaa.Wagonjwa ,wazee wananyimwa fursa hata kwenda kutafuta dawa.
Sababu ya kufungwa kwao unaijua?
Tanzania ulishawahi kumuona mfungwa anatoka jela anakuja mtaani kwako kutafuta dawa?
Wanaotaka kupeleka misaada wote wanazuiwa au watoe kwa resheni wanayotaka wayahudi.Mifano ni mingi sana.
Acha porojo wewe
Umemuona huyu binti kulia? Basi huyu kakimbia ushenzi wenu maislamu
Yupo Canada
Japo mada hii ilihusu upimaji wa Ebola zaidi hata hivyo na wewe nakuomba unitajie wapi Qur'an tukufu inapohimiza kuwachukia wakristo.Kama umeona kitu kama hicho Nahofia huenda hujafahamu maana .
Maislamu ujuaji mwiiingi mbele kiza
Koran 5:52 unajua inasemaje?
Hata hii unayoita njama za uislamu kuitawala dunia ni hofu tu ya binadamu na kutokuweza kutofautisha kati ya huruma na njama.Uliza wale waliokuwa kama wewe wakueleze furaha na ukweli wanaojuwa baada ya kufuata uislamu.Na watakutofautishia kati ya waislamu na wayahudi na wakristo ni nani watu wa njama zaidi.
😝😝😝 siwezi kuwa mfuasi wa Mudy mimi abdoooool siwezi kumuamini mtu aliyekuwa hajui kusoma wala kuandika.
Angalia tofauti ya mislamu menzio na Wasayuni hapa
Israel national (W) team
Iran (w) national team 😝😝😝 wakicheza hawa wanaume hawahudhurii marufuku 😨
Saudi (w) national team wakiwa Copenhagen
Wanaume marufuku kuwaangalia ni kituko