Wapemba Mungu anatuona, nakataliwa kuoa kisa nimekulia Bara

Wapemba Mungu anatuona, nakataliwa kuoa kisa nimekulia Bara

Wanajukwaa salamu kwenu.

Mimi ni kijana wa kipemba, nimependana na kijana mwenzangu binti wa kipemba. Nimeenda kwao nimemposa ila leo nimepata majibu kuwa nimekataliwa kwa sababu sijakulia pemba.

Kibaya zaidi binti kaapa kuwa asipoolewa na mimi basi kifo ndio kheri yake. Muda si mrefu alikuja home kwetu na amenambia akisikia nimeoa basi atahakikisha siishi kwa amani maisha yangu yote.

Binti nampenda na yeye ananipenda zaidi ya sana na hata sijui lakufanya tafadhali nishaurini

UPDATE;
Wazazi wa binti wamenipigia simu wananishutumu kwao amani imetoweka sababu yangu. Wanahisi huenda nimemloga binti yao ili awe kichaa kwa ajili yangu. Mwishowe baba mzazi wa binti ameniuliza mahusiano yenu mlianza lini, nimemjibu tangu tupo form 1 2009.
Mkuu itakua huna hela tu.
Mbona wangekubalia hata ungekua mnyamwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unajitesa bure na kunitafutia matatizo kwani uliweka nadhir kwamba lazima uowe Mpemba hao watu ni wabaguzi sana tena sana mm binafsi nimeishi nao wapemba waliokaa Dar ,Bagamoyo, Tanga hawa wako vizuri lakini aliyekulia pemba mwanzo mwisho huwa ni Conservative kamwe habadiliki wazazi huona ni bora wakamuozesha binti yao kwa Twaliku Swalaa kuliko mtu wa Swala tano asiye mpemba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wadau walivyokushauri we piga mimba tu. Wasipokuozesha piga ya pili ; kama bado piga ya tatu utaona wanamleta wenyewe.

Kuna jamaa yangu alitaka kuoa mwarabu wakamkatalia; akamdunga binti mimba ya kwanza bado wakakataa , akamdunga ya pili bado wakataa kumuza binti. Alivyomdunga ya 3 mbona walimfuata wenyewe kumuomba aje aoe

God save us
 
Wewe ungetia mimba kwanza kabla ya posa wala kwenda huko ungejibebea kiulaini tu

mpuuzi mpuuzi tu
 
Wanajukwaa salamu kwenu.

Mimi ni kijana wa kipemba, nimependana na kijana mwenzangu binti wa kipemba. Nimeenda kwao nimemposa ila leo nimepata majibu kuwa nimekataliwa kwa sababu sijakulia pemba.

Kibaya zaidi binti kaapa kuwa asipoolewa na mimi basi kifo ndio kheri yake. Muda si mrefu alikuja home kwetu na amenambia akisikia nimeoa basi atahakikisha siishi kwa amani maisha yangu yote.

Binti nampenda na yeye ananipenda zaidi ya sana na hata sijui lakufanya tafadhali nishaurini

UPDATE;
Wazazi wa binti wamenipigia simu wananishutumu kwao amani imetoweka sababu yangu. Wanahisi huenda nimemloga binti yao ili awe kichaa kwa ajili yangu. Mwishowe baba mzazi wa binti ameniuliza mahusiano yenu mlianza lini, nimemjibu tangu tupo form 1 2009.
1mil napata mke huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wadau walivyokushauri we piga mimba tu. Wasipokuozesha piga ya pili ; kama bado piga ya tatu utaona wanamleta wenyewe.

Kuna jamaa yangu alitaka kuoa mwarabu wakamkatalia; akamdunga binti mimba ya kwanza bado wakakataa , akamdunga ya pili bado wakataa kumuza binti. Alivyomdunga ya 3 mbona walimfuata wenyewe kumuomba aje aoe

God save us
Chai
 
Back
Top Bottom