ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Harufu ya jini ikoje ?Unanuka mi harufu ya majini
Harufu ya jini ikoje ?
Nikweli mkuu,kuna mmoja alinisaidia sana kipindi cha nyuma,Anakukopesha hata mwaka mzima hana habari,hakuulizi,yeye anasema usipomlipa duniani,utamlipa akhera.
sasa perfume ndio jini mkuu ?Mkuu vile vi perfume vyao huvijui?
[emoji7][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ndo anachosifia
Mkuu umewatweza wenzio hawa jamaa sio Sifuri bhana ni Magenious sana Uingereza wamejaa kibao huko ni Madokt na Malecturers watake radhi bhana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu ni wazee wa sufuli...
Mkuu umewatweza wenzio hawa jamaa sio Sifuri bhana ni Magenious sana Uingereza wamejaa kibao huko ni Madokt na Malecturers watake radhi bhana
hahah...mpe gahawa na kashata, keshalipiwaNdio lugha zao hizo, mkuu ulishalipa?
Hawa majamaa Wana roho nzuri Sana kwanza katika biashara wanauza bidhaa zao kwa Bei nafuu kuliko Wafanyabiashara wengine
Kingine wapemba Ni wakarimu Sana wanapenda ufanikiwe Wana ushauri mzuri Sana na hawana tamaa Wala roho mbaya
Kingine wanaishi maisha simple Sana wengi wao Ni watu wa dini wachaMungu hawanywi pombe.
Ishi nao vizuri utafaidika Sana usijaribu kumwibia mpemba kwani yatakukuta.
Ila kweli wake zao hata wao binafsi wachafu sana hawaujui usafi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu ni wazee wa sufuli...
Naam nielewesheHujaelewa mkuu
Unakuwa umelipiwa yahe"Hawa majamaa Wana roho nzuri Sana kwanza katika biashara wanauza bidhaa zao kwa Bei nafuu kuliko Wafanyabiashara wengine
Kingine wapemba Ni wakarimu Sana wanapenda ufanikiwe Wana ushauri mzuri Sana na hawana tamaa Wala roho mbaya
Kingine wanaishi maisha simple Sana wengi wao Ni watu wa dini wachaMungu hawanywi pombe.
Ishi nao vizuri utafaidika Sana usijaribu kumwibia mpemba kwani yatakukuta.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] iliwahi nikuta hii wayback mwanamke akapandisha mashetani basi bwana si akanikaba shingoni? siji kusahau nilimfinya masikio hadi alikoma nikavunja na uhusiano siku hiyo hiyoNililala na mwanamkw mchawi mwenye majini ndo sembuse kula mkate mimi nakula Faza.
Sifuri maanake jicho,tigo,..kama na hapa hujaelewa hutaelewa tenaMkuu umewatweza wenzio hawa jamaa sio Sifuri bhana ni Magenious sana Uingereza wamejaa kibao huko ni Madokt na Malecturers watake radhi bhana