Wapemba Ni watu poa sana

Wapemba Ni watu poa sana

Sifa za wapemba
-wanadini sana na wanaheshimu sana dini waisilamu wote.
-wanajua kuishi na kila mtu popote wao kambi
-wanajua biashara sana mchaga asubili( ila lazima atumie na madudu kwenye biashara nasisitiza lazima)
-Wakarimu sana.
-wanawake wao wazuri tatizo chura hakuna.

Mabaya yao.
-wabaguzi balaa yaani aijalishi uwe kafiri au muisilamu mwenzao kama sio mpemba ww ni kafiri tu
-wazee wa majini balaa hakuna anachofanya bila kutumia madude yao.
-mabishi sana na misimamo mikali sana hata kama hayupo sahihi akiamini anachoamini hayumbi.
Mkuu umemaliza
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] iliwahi nikuta hii wayback mwanamke akapandisha mashetani basi bwana si akanikaba shingoni? siji kusahau nilimfinya masikio hadi alikoma nikavunja na uhusiano siku hiyo hiyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ni kwei nina mshkaji wangu mpemba niliwahi muazima elfu 55 akanip tena baada ya kuisaka kwelikweli sasa muda wa kulipa kafika nkamwambia anipe sku mbili zaidi maana mipango si matumizi akauliza mjomba kan una shda gan nkamwambia mwanangu anaumwa akanipa pole mingi kesho yake akaja kumsbahi dogo akaniachia na elfu 10 huku akiniomba radh eti japo kidogo lakn ndo alichonaco kw wakat huo kisha akanambia ile pesa ukipata hudumia tu familia maana hakunikopesha alinipa tu.......
Yupo wapi uyo mpemba wako na mie nkamkope
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] iliwahi nikuta hii wayback mwanamke akapandisha mashetani basi bwana si akanikaba shingoni? siji kusahau nilimfinya masikio hadi alikoma nikavunja na uhusiano siku hiyo hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
...wapemba wapo poa sana yaani mta share vitu vingi sana ila sio swala la kuchanganya damu (kuoa/kuolewa) ilo ukifanikiwa jiandae kutengwa otherwise pesa isiwe tatzo kwako...
kuna bint wa kipemba nilipanga nimuoe apo baadae nilijaribu sana kumchimba kwa maswali,nilimuliza ktk ukoo wenu kuna mtu alishawai kuolewa au kuoa m'bara akajibu hapana, nikamuliza kwanini akasema wabara si wastarabu ndo hivyo tunaamini iliniuma sana kusikia hayo maneno,nikaona apa napoteza nguvu na muda wangu nikachange maamuzi japo binti nilimpenda.
mana unaweza ukawa unasubiri boti airport.
 
Jamaa ni wabaguzi sana halafu walivyokuwa hawana akili mpemba hata awe mweusi kama jaluo lakini yeye anajiona mwarabu.
 
Ndugu zangu kwa anaehitaji kuja kutembea Zanzibar anitafute

Kwa maelezo zaidi tuongee private
 
Wabaguzi sana mbwa nyie,Watanganyika wakija kwenu mnawabagua lakini nyie mmejazana Tanganyika kama kumbikumbi,mie nawaona mbwa tu.
😂 Mimi sio mpemba mbwa wewe , unawachukia kisa nini? Wazuri, wanamafanikio au nini?
 
...wapemba wapo poa sana yaani mta share vitu vingi sana ila sio swala la kuchanganya damu (kuoa/kuolewa) ilo ukifanikiwa jiandae kutengwa otherwise pesa isiwe tatzo kwako...
kuna bint wa kipemba nilipanga nimuoe apo baadae nilijaribu sana kumchimba kwa maswali,nilimuliza ktk ukoo wenu kuna mtu alishawai kuolewa au kuoa m'bara akajibu hapana, nikamuliza kwanini akasema wabara si wastarabu ndo hivyo tunaamini iliniuma sana kusikia hayo maneno,nikaona apa napoteza nguvu na muda wangu nikachange maamuzi japo binti nilimpenda.
mana unaweza ukawa unasubiri boti airport.
Ubaguzi ndiyo unawasumbua kwa sababu wao wanajiona waarabu.
 
Back
Top Bottom