Wapemba Ni watu poa sana

Mkuu umemaliza
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] iliwahi nikuta hii wayback mwanamke akapandisha mashetani basi bwana si akanikaba shingoni? siji kusahau nilimfinya masikio hadi alikoma nikavunja na uhusiano siku hiyo hiyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yupo wapi uyo mpemba wako na mie nkamkope
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] iliwahi nikuta hii wayback mwanamke akapandisha mashetani basi bwana si akanikaba shingoni? siji kusahau nilimfinya masikio hadi alikoma nikavunja na uhusiano siku hiyo hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
...wapemba wapo poa sana yaani mta share vitu vingi sana ila sio swala la kuchanganya damu (kuoa/kuolewa) ilo ukifanikiwa jiandae kutengwa otherwise pesa isiwe tatzo kwako...
kuna bint wa kipemba nilipanga nimuoe apo baadae nilijaribu sana kumchimba kwa maswali,nilimuliza ktk ukoo wenu kuna mtu alishawai kuolewa au kuoa m'bara akajibu hapana, nikamuliza kwanini akasema wabara si wastarabu ndo hivyo tunaamini iliniuma sana kusikia hayo maneno,nikaona apa napoteza nguvu na muda wangu nikachange maamuzi japo binti nilimpenda.
mana unaweza ukawa unasubiri boti airport.
 
Jamaa ni wabaguzi sana halafu walivyokuwa hawana akili mpemba hata awe mweusi kama jaluo lakini yeye anajiona mwarabu.
 
Ndugu zangu kwa anaehitaji kuja kutembea Zanzibar anitafute

Kwa maelezo zaidi tuongee private
 
Wabaguzi sana mbwa nyie,Watanganyika wakija kwenu mnawabagua lakini nyie mmejazana Tanganyika kama kumbikumbi,mie nawaona mbwa tu.
😂 Mimi sio mpemba mbwa wewe , unawachukia kisa nini? Wazuri, wanamafanikio au nini?
 
Ubaguzi ndiyo unawasumbua kwa sababu wao wanajiona waarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…