Wapenda demokrasia ile kesi ya kupinga Urais wa Ruto iko mubashara, leo ni utetezi

Wapenda demokrasia ile kesi ya kupinga Urais wa Ruto iko mubashara, leo ni utetezi

Angalau umejitahi kukiri ukweli na sio kuleta uzalendo mlo.

Mtu aliye biased hawezi kukupa tofauti yoyote ya maana, ataishia kupiga porojo tu.

1661933389626.png

Kama upande wa jiwe ulikuwepo na upande wa CCM ulikuwepo na ulikaa kimya maovu yakitendeka, wewe ni mshiriki katika uovu wao, huwezi kukwepa, wewe ni mmoja wao...ulikuwa upande wa tembo akisigina mkia wa panya.

Bahati yao Kenya, wana mihimili mitatu inayolinda na kutetea Katiba, sisi masikini, tunao mhimili moja tu...Chama cha Mapinduzi!
 
Mkuu Ngongo , kwanza asante kwa kunitambua kama wakili msomi, mimi naomba kujitambulisha rasmi kuwa mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.
Hakuna tofauti yoyote kati ya mahakama zetu na hizi za wenzetu, tofauti ni wanasheria wetu na wenzetu ni kama mbingu na nchi!.

Moja ya pillars za EAC Integration yaani Mtangamano wa nchi za Jumuiya ya Africa Mashariki, ni free movement of labor ambapo raia yoyote wa Africa Mashariki yuko free kufanya kazi nchi yoyote bila restrictions zozote, hakuna tena hitaji la work permit kwa raia wa Africa Mashariki, hivyo Wakenya watalamba kazi zote za maana na mawakili wa Kenya ndio watashika hii free movement of labor ikianza.
P

Uko sahihi,kama nitakuwa sahihi wewe pia unagombea nafasi ya ubunge EAC utatusaidiaje katika hili na free movement of labor maana naona wanasheria wachache sana wataweza kushindana na wanasheria wa Kenya labda Kibatala na Hosea.
 
Mtu aliye biased hawezi kukupa tofauti yoyote ya maana, ataishia kupiga porojo tu.
Preconceived negativity and looking down upon others ni tatizo hapa jf. Mtu akiulizwa kitu, tusimjibie kwa ku m priempty with negativity!.

Mtu ukiwa tuu chama kingine ukiwaeleza ukweli bayana au ukweli mchungu, wanakuona uko biased!.

Hili la wanasheria wetu na mawakili wetu nimelisema sana humu.
P
 
Uko sahihi,kama nitakuwa sahihi wewe pia unagombea nafasi ya ubunge EAC utatusaidiaje katika hili na free movement of labor maana naona wanasheria wachache sana wataweza kushindana na wanasheria wa Kenya labda Kibatala na Hosea.
Naomba nisianze kusema nikaonekana kama napiga kampeni za kichinichini nika fyekelewa mbali!.
P
 
Asante tuko tunafuatilia, na leo nimeenda Kenya straight bila kuanzia Tanzania nisije kutana tena na "jicho ona" nikakwama kama jana.
Hii lingua inayotumika kuendesha kesi hii, ni uthibitisho, wakoloni wametufanya vibaya sana!.

P
Mkuu mimi niko hapa Muthaiga(Residence) nimetulia nakula mema ya Nchi yangu huku ugenini, nikimaliza nipite pale Village market, then Two rivers na siku yangu itakua imeisha officially,
Sijui utakua wapi nipite nikusalimu, maana huku mafuta bei ina nafuu kiasi
 
Kesi imeshaanza kusikilizwa na iko mubashara Citizen TV.

Karibu.

cc: Pascal Mayalla, Bagamoyo
 
Back
Top Bottom