ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kwa tuliofuatilia sherehe za kumuaga rais anaemaliza muda wake mh Jk jana ktk sherehe zilizoandaliwa na Taswa mtakubaliana nami kua rais wetu huyu amekua tofauti sana na waliomtangulia ktk kupiga jeki gurudumu la maendeleo ktk sekta ya michezo,
ki ukweli amejitaahidi kwa uwezo wake wote alioweza kuinyanyua tasnia hii ,pamoja na mengi alioongea ktk hotuba yake na mtazamo wake katika swala zima la michezo,kusaidia ktk uanzishwaji wa kituo kipya cha michezo kwa watoto cha kidongo chekundu kitakachozinduliwa wiki hii jumamosi,
shime viongozi wa michezo shikeni na mfanyie kazi mawazo na ushauri wake rais,Jakaya Kikwete hakika wewe ni mwanamichezo wa kweli sisi tutaendelea kuhitaji msaada wako pale utapoona inafaa kushauri kiukweli tutakukumbuka Kikwete sie wapenda michezo,twasema ahsante kwa yote.
ki ukweli amejitaahidi kwa uwezo wake wote alioweza kuinyanyua tasnia hii ,pamoja na mengi alioongea ktk hotuba yake na mtazamo wake katika swala zima la michezo,kusaidia ktk uanzishwaji wa kituo kipya cha michezo kwa watoto cha kidongo chekundu kitakachozinduliwa wiki hii jumamosi,
shime viongozi wa michezo shikeni na mfanyie kazi mawazo na ushauri wake rais,Jakaya Kikwete hakika wewe ni mwanamichezo wa kweli sisi tutaendelea kuhitaji msaada wako pale utapoona inafaa kushauri kiukweli tutakukumbuka Kikwete sie wapenda michezo,twasema ahsante kwa yote.