tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,491
Chama cha Soka Mkoa wa Mara kimeilalamikia CCM kwa kuruhusu tamasha la muziki (Fiesta) kufanyika katika Uwanja wa Karume na hivyo kuharibu eneo la kuchezea mpira. Chama hicho kimesema kilitumia TZS milioni 70 kukarabati uwanja huo unaotumiwa na Biashara United