Wapenda Soka mnawaelewa TBC?

Wapenda Soka mnawaelewa TBC?

Tv yako mbovu au aina ya dish unalotumia me nipo nachek wako vizuri Sana sometime TBC tunawakosea heshima!!!
 
Wapenda Soka wote salaam.

Hivi hawa TBC mnawaelewa Ndugu zangu?.

Mbona ubora wa hii mechi wanayo onyesha upo Chini sana.

Kama ubora wa picha upo hivi basi hadi Kombe la Dunia liishe tutakuwa na Malienge.


Very poor quality of picture.
Ni Lini tbc wakawa na quality nzuri? tuacheni gubu watanzania.

Kiufupi nilitegemea yote hayo
 
Wapenda Soka wote salaam.

Hivi hawa TBC mnawaelewa Ndugu zangu?.

Mbona ubora wa hii mechi wanayo onyesha upo Chini sana.

Kama ubora wa picha upo hivi basi hadi Kombe la Dunia liishe tutakuwa na Malienge.


Very poor quality of picture.
Soon utasikia Wanakatisha matangazo ili kujiunga na wenzao walioko Chamwino
 
Wapenda Soka wote salaam.

Hivi hawa TBC mnawaelewa Ndugu zangu?.

Mbona ubora wa hii mechi wanayo onyesha upo Chini sana.

Kama ubora wa picha upo hivi basi hadi Kombe la Dunia liishe tutakuwa na Malienge.


Very poor quality of picture.
wamecrop picha.. transmission ya content inaruka kwenye kiwango cha 720p unategemea nini hapo kama si kufinya macho kama mzeee wa miaka 90
 
tbc ni tv ya taifa la Tazania sasa wewe unategemea nini mkuu?
 
Kwa leo wamejitahid Kuonyesha soka hd jaman wameupgrade tofauti na awali
 
wamecrop picha.. transmission ya content inaruka kwenye kiwango cha 720p unategemea nini hapo kama si kufinya macho kama mzeee wa miaka 90
Goli likiingia hata huoni vizuri hadi warudie.
 
Back
Top Bottom