Jimmy ally
Senior Member
- May 11, 2017
- 156
- 279
Amescreen short duka la liquorUmewahi kwenda bar. Hiyo picha ulivyodownload ulidhani ni bar hapo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jane na Ester mlinifanya nikawa silali zaidi ya masaa mawili kila weekend
Cheka tu ila hawa kina dada kuna wakati wanafanya akili zetu zinapotea[emoji23][emoji23][emoji23]
Wale ni wazuri unaweka mitego, hakikisha pana room hiyo sehemu 2015 naikumbukaulifanikiwa au kupata hasara. Tujuzane [emoji117][emoji117][emoji117][emoji23][emoji23][emoji23]kumpata counter ni mpaka siku akiwa off@Jimmy ally,
Sitaki kukumbuka mengi[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Cheka tu ila hawa kina dada kuna wakati wanafanya akili zetu zinapotea
Walevi wa nini!?Uzi hautuhusu walevi
โ No one who can rise before dawn 360 days a year fail to make his family richโ
Wanasema halua haina makombo ...! Sio kama ukoko wa wali[emoji16][emoji16][emoji16]Wamiliki wa Baa (Bar) wana balaa kwa kweli. Wengine hubadili wahudumu kila baada ya muda fulani. Wanauamini ule msemo "KILA MWANAMKE (kimsingi ni kila mtu) MGENI NI BIKRA"
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, kuna dada hapa Kijitonyama yuko counter na nafikiri grocery ndiyo hii hii๐......huyu mdada ni mzuri kinoma ila sina muda naye kwani nahisi anakanyagwa na kila mtu ajaye hapa maana naona wanavyomshika shika naye akicheka kwa furaha.Habari za majukum wanajamii,
Niende moja kwa moja kwenye point. Je, ulishawahi kwenda baa kunywa hata maji au kinywaji chochote lakini ghafla anayekuhuldumia ukajikuta unamuelewa asa wale wa kaunta mpaka ukaamua kukaa na kupoteza muda au ulifanikiwa au kupata hasara. Tujuzane
View attachment 1288062