Jimmy ally
Senior Member
- May 11, 2017
- 156
- 279
Habari za majukum wanajamii,
Niende moja kwa moja kwenye point. Je, ulishawahi kwenda baa kunywa hata maji au kinywaji chochote lakini ghafla anayekuhuldumia ukajikuta unamuelewa asa wale wa kaunta mpaka ukaamua kukaa na kupoteza muda au ulifanikiwa au kupata hasara. Tujuzane
Niende moja kwa moja kwenye point. Je, ulishawahi kwenda baa kunywa hata maji au kinywaji chochote lakini ghafla anayekuhuldumia ukajikuta unamuelewa asa wale wa kaunta mpaka ukaamua kukaa na kupoteza muda au ulifanikiwa au kupata hasara. Tujuzane