Wapendanao kuchokana, nini sababu hasa?

Wapendanao kuchokana, nini sababu hasa?

Ni nature inataka hivyo, kwa mfano hebu tutumie mifano tunayoishi nayo kwenye jamii yetu, hebu fikiria kuhusu chakula. Unajisikaje kula aina moja ya chakula mwezi mzima bila kubadilisha? Maana yake ni kwamba akili ya mwanadamu imeumbwa kupenda vitu vipya na vya utofauti kila siku.

Ni kwamba mwanadamu hataki mambo yale yale, anapenda utofauti. Ndo maana tunabadili nguo, simu, magari n.k ili kutafuta utofauti. Hii ina-apply hadi kwenye mahusiano ya kawaida na ya ndoa, na ndiyo maana ukishaingia huko unashauriwa usiishi kwa mazoea na mpenzi wako wala usitabirike.

Lengo la kutoishi kwa mazoea ni kwaajili ya kuzuia kuzoeleka na mpenzi wako na hatimaye kuonekana wa kawaida na huna jipya. Kwahiyo silaha pekee hapo ambayo wengi wanashindwa kuitumia ni kujifunza kuridhika na uliyenaye basi.
 
turudi kwenye misingi ya zamani mwanaume aoe wanawake atakao. Ni rahisi kumudu wake wa tatu kuliko mmoja

maana itatengeneza wivu na heshima
wake watakua na wivu na pia wataheshimu mume wao
Babu yangu alioa wake watatu...kwa stress alizopata kwa bibi yangu ambae ni mke wa pili mbona alitangulia mapema mno hata 70 hakufika..akiwa na miaka 64 tu mambo tayari kwishnehi.

Bibi wa kwanza aliamuaga zake kujitenga baada ya kuona maswaibu ya mke mwenza yamezidi...watoto wake wamesoma vizuri..wana mafanikio makubwa sana na wako nane....bi mdogo sasa....ahemmm.

Kwaiyo hii point inadepend...... ukijichanganya ukawa na wake wawili au watatu na mmoja wao sio..utaonja joto ya jiwe.
 
Ni nature inataka hivyo, kwa mfano hebu tutumie mifano tunayoishi nayo kwenye jamii yetu, hebu fikiria kuhusu chakula. Unajisikaje kula aina moja ya chakula mwezi mzima bila kubadilisha? Maana yake ni kwamba akili ya mwanadamu imeumbwa kupenda vitu vipya na vya utofauti kila siku.

Ni kwamba mwanadamu hataki mambo yale yale, anapenda utofauti. Ndo maana tunabadili nguo, simu, magari n.k ili kutafuta utofauti. Hii ina-apply hadi kwenye mahusiano ya kawaida na ya ndoa, na ndiyo maana ukishaingia huko unashauriwa usiishi kwa mazoea na mpenzi wako wala usitabirike.

Lengo la kutoishi kwa mazoea ni kwaajili ya kuzuia kuzoeleka na mpenzi wako na hatimaye kuonekana wa kawaida na huna jipya. Kwahiyo silaha pekee hapo ambayo wengi wanashindwa kuitumia ni kujifunza kuridhika na uliyenaye basi.
Unaposema tusiishi kwa mazoea na wapenzi wetu unamaanisha nini! Kwa faida ya weng plz
 
Ukweli mchungu, binadamu hajaumbwa kukaa, kuishi na mtu fulani mfano kulala kitanda kimoja kwa muda usiojulikana. Ni sisi wanadamu tumejipangia huo utaratibu na duniani kote ni vilio na kusaga meno huo utaratibu umeshindikana. Ndoa nyingi na mahusiano mengi watu wako pamoja Kwa kuvumiliana tu aidha kuifurahisha jamii au kufata maelekezo ya dini zao. Binadamu by nature hajaumbwa aishi na mtu mmoja hadi kifo kiwatenganishe. Ni ukweli ambao hausemwi popote rasmi, na watakuja watu kunibeza na kunitukana hapa ila ndio uhalisia. Wengi wanakuja kuujua huu ukweli wakishafikisha miaka 65,70 na kuendelea na kutamani wangeujua mapema. Mpaka Sasa 98% ya watu duniani wanaishi maisha ya kufuata maelekezo wasiyoyajua na kumjua anayewaelekeza ndo maana watu wengi huishi karibia maisha yao yote bila ya kuwa na peace of mind.
Sumu ya Mapenzi ni Maudhi.

Fadhila mfadhili mbuzi Binaadamu ana Maudhi.

Nature ya binaadamu Ubinafsi.

Ukiwa na Ubinafsi lazima utamkwaza mwenzako tu.
 
Ningekujibu kiundani yaani jinsi ubongo unavyofanya kazi sema najisikia kuchokachoka Ila ngoja nilazimishe ubongo Mana Ni adui kwetu.


Iko ivi unapopata kitu kipya huwa Kuna Ile furaha ya mwanzo. Why furaha inatokea coz Kuna kemikali fulani inamiminwa mwilini ambayo inafanya unakuwa na furaha kutokana na external factors like nyumba mpya,kazi mpya,umeshinda kamari,umefakiyo demu/boy mzuri mno kwa moyoni mwako,umenunua phone nzuri,umehamia ulaya jiji zuri ama mido isti,umevaa nguo mpya na nzuri,umekula msosi mzuri unaolala unauota.umecheza kamari,umetumia drugs,ama umefanya katabia fulani hakana faida Ila wewe unafurahia like gossiping someone,ukamkomesha mtu,ukatumia drugs,ukacheki pornography,ukapiga punyetu,ukanywa kinywaji fulani,umevunja Sheria fulani,ukapewa rushwa fulani,ukasafiri kwa pipa or whatever.


Sasa bwana hizi kemikali huwa zinakaa mwilini kwa muda tu Mana Ni Hali ya ubongo kuzitoa Ni pale unapokuwa umeshtuliwa na kitu kigeni na kizuri Kama hapo juu.

Hizi ama furaha Ni hisia tu kumbuka. Mana ya hisia huwa zinaisha Ni sawaa na hasira,njaa,kucheka,kuumia kumpoteza umpendaye,kuchukia tabia fulani unaiyoiona mtaani/nyumbani kwako.


Sasa bwana hizi kemikali zikishakaa mwilini zikakufanya ukajihisi furaha huwa zina expire. Zinaitwa dopamine, endorphins zinakufanya unakuwa tick or high.
Pia ukiwa na hasira/stress mwili unatoa cortisol . ama Kuna gland inaitwa pituitary ndio inayosimamia mwili kuzalisha hizi kemikali kwa ajili unajisikia ivyo hasira.
Sasa bwana ukishazipata hizo kemikali za furaha zinaisha kabisa ivyo inatakiwa Tena upate kingine kigeni ili kikufanye uwe high/tick/amped up.
Mfano ubadili demu,upate hela zingine,nyumba nyingine,rushwa nyingine,mtt mwingine,kazi nyingine uhame hapo,ule chakula kingine n.k.


Mana ukiwa unapata kitu kile kile ukishakuwa used nacho unaanza ama unaacha kushtuka Mana Kama Ni ke umeshajua mpaka harufu,size ya ke, mpaka Ile Hali akisweti ukiwa naye unajua,paja,mwili wake,titi lake, yaani kila kitu kipo kichwani mwako,pumzi yake,purukshani zake i.e romance so tayari kichwa/brain imeshajua kila kitu ama kimeshahifadhi everything about that event/s inayofanya uwe na furaha.
So hakuna jipya la kukushangaza/kukufurahisha anymore.
Hali iyo inapelekea unakuwa hupati Tena msisimko Sasa bwana ukiwa mtu wa kutafuta furaha utamaliza dunia nzima na iyo Hali itajirudia tu Kama dunia invyozunguka jua Ni non-stop happiness seeking.

Hii Ni sawa na hofu mfano Kama Kuna Jambo unaogopa kulifanya lifanye many times hofu itapotea.



Na ndio Mana wanasema kuwa Kama furaha yako inatoka nje ya moyo wako Basi utakuwa mtumwa hapa duniani.
Walio strong emotionally huwa wakiwa alone wanakuwa na happiness kinyama.


Na ndio Mana huwa wanashauri vijana waoe wanawake wanaowafahamu Mana mwanzoni kila mtu Ni gold kwa mwenzake Ila kadri muda unavyozidi kwenda graph inashuka mpaka minus.

Mana ukishamjua mwenzako mpaka madhaifu yake Kama anapiga kamoja so unamchoka mpaka keep na hapo utaanza kucheki furaha yako nje.


Na ndio Mana Kuna watu wanapata pesa kwa kufanya kazi ambazo hawazipendi, sema Ile living inawafanya waendelee kuzifanya.


Furaha mfano kwenye kazi Ni suala la kutatua matatizo ambayo hayaishi. Mfano kila siku wewe unaletewe wagonjwa walioshindwa kutibika pengine,unafundisha wanafunzi wanafaulu extraordinary,unahudumia watu matatizo mbalimbali yaani shida zao zinaisha ndio furaha yako baadaye unashangaa unalipwa kwa kufanya kitu unachokipenda,unacheza mktaba feki unachota hela za wananchi kwa kampuni hewa iliyosajiliwa huko USA Kama Richmond,unasimamia kesi zenye utata zinafaulu ndio furaha inapatikana kwako,Ila hela inakuwa Kama reward/tuzo kwako Mana hayo matatizo unaweza kuyatatua bila hata ya kulipwa.

Ila inawezekana ukawa na mtu ambaye unampenda daima sema Sasa hii Ni nadra mno ,unakumbuka pendo lakon kwa kwanza Kama yule ungeishi naye nadhani kila siku ungekuwa unamuona Ni mpya Ila nadhani ingefikia sehemu utamchoka hata angekuwa malaika hii Ni asili ya ubongo tulio nao.


Sasa bwana Kama ulioa demu ambaye baadaye akakuchoka ndipo atakapoanza mauzauza huko umri umeenda,hata ndugu yako akija anakunja uso,ukisaidia kwenu anamaindi kinyama,ukizidi kumbana na kumzingua na unazo Mali Ni rahisi mno kukutanguliza Ila Kama mmeoana mnafahamiana miaka na miaka tokea kwa mababu zenu kwanza Ile bond ya huko nyuma inakuwepo inawaunganisha so ule uhasama unamalizwa na ujamaa ama undugu baina yenu.


Umeona mfano wa waarabu Ile bond inakuwa very strong.
We jamaa nakukubaligi. Michango yako huwa naipitia kwa roho mkunjufu kabsa
 
We jamaa nakukubaligi. Michango yako huwa naipitia kwa roho mkunjufu kabsa
Ukinikubali unaniharibu Mana ego itajaa nutajiona Niko juu ya dunia,ama naweza kugeuza usiku uwe mchana. Ama naweza nikaijua kesho yangu itakuwaje.
Ukitaka kuwa rafiki yangu tafuta kulipo na weakness nishushie Moto wa kutonikubali.
Ila ndani kwa ndani uwe unajua jamaa kichwa.
Tembo akisifiwa mgema ----- wahenga hawakuwa wajinga.
 
Boraa umesemaaa😅😅😅..sometimes hata tujilazee Kama tulivyoo zaliwaaa...mwenzio yupoo bize na sim au laptop yakee..ndoa sometimes zinachosha kwelikweli
😂😂 Mkuu hakuna iyo kitu ya kudindisha hovyo kwa mkeo na ndio maana inafikia time mkeo ata akipita uchi mbele yako unakua huna ata time ya maku.
 
Boraa umesemaaa😅😅😅..sometimes hata tujilazee Kama tulivyoo zaliwaaa...mwenzio yupoo bize na sim au laptop yakee..ndoa sometimes zinachosha kwelikweli
Pole Sana mom mbarikiwa jamani. Ni kawaida kwenye maisha ama kwa kila kitu hapa duniani.
Cheki mfanyakazi mpya anakuwa na Moto wa kwanza na wa mwisho kutoka job Ila akikomaa mwaka ukaisha anaona kawaida. Nyie shuleni mlikuwa hampati wale walimu wa field wanakuwa wa Moto Sana jamani Ila baadaye wakishafanyiwa usahili wanapoteza.

Yaani ubongo unafanya kazi kwa bidii ukijua Kama Kuna reward ndivyo ulivyo.

Kuna uchunguzi ulifanyiwa kwa monkeys so waliona vitendo vilivyoambatana na reward.


Kama vile umenigusa binafsi Mana nasoma mno mpaka kitandani nakuwa na simu najisomea wife Naona Kama namtesa Ila Kuna skill fulani nakomaa nayo kwa furaha yetu sote baadaye,yaani najua Ile instinctively kuwa hapa sio kabisa,smt namshitukiza Nampa furaha ya kufa mtu ambayo inaweka kumbukumbu kwa ubongo wake inaishi muda mrefu more than three days haija expire.Muda huo nakuwa Niko bize na Mambo yangu.
 
Boraa umesemaaa😅😅😅..sometimes hata tujilazee Kama tulivyoo zaliwaaa...mwenzio yupoo bize na sim au laptop yakee..ndoa sometimes zinachosha kwelikweli
Ila umenichekesha eti ujilaze ulivyozaliwa,nikupe Siri ukiona ivyo Anza kumchokoza kwa kumfanyia kitu ambacho kinamfanya anapoteza akili ya kawaida inakuja akili ya hisia.
Yaani wewe mfanye awashwe ama apate njaa ya chakula shida mnasubiria sie tuwaanze.

Sometime hamia chumba Cha watt lala huko hata wiki nzima ili mpaka aone your absence ubongo wake utamtuma aatakuita.
Niishie hapa bana
 
Ni nature inataka hivyo, kwa mfano hebu tutumie mifano tunayoishi nayo kwenye jamii yetu, hebu fikiria kuhusu chakula. Unajisikaje kula aina moja ya chakula mwezi mzima bila kubadilisha? Maana yake ni kwamba akili ya mwanadamu imeumbwa kupenda vitu vipya na vya utofauti kila siku.

Ni kwamba mwanadamu hataki mambo yale yale, anapenda utofauti. Ndo maana tunabadili nguo, simu, magari n.k ili kutafuta utofauti. Hii ina-apply hadi kwenye mahusiano ya kawaida na ya ndoa, na ndiyo maana ukishaingia huko unashauriwa usiishi kwa mazoea na mpenzi wako wala usitabirike.

Lengo la kutoishi kwa mazoea ni kwaajili ya kuzuia kuzoeleka na mpenzi wako na hatimaye kuonekana wa kawaida na huna jipya. Kwahiyo silaha pekee hapo ambayo wengi wanashindwa kuitumia ni kujifunza kuridhika na uliyenaye basi.
Nashukuru kwa mawazo mazuri. Hata ubadilisheje utachoka tu.
 
Pole Sana mom mbarikiwa jamani. Ni kawaida kwenye maisha ama kwa kila kitu hapa duniani.
Cheki mfanyakazi mpya anakuwa na Moto wa kwanza na wa mwisho kutoka job Ila akikomaa mwaka ukaisha anaona kawaida. Nyie shuleni mlikuwa hampati wale walimu wa field wanakuwa wa Moto Sana jamani Ila baadaye wakishafanyiwa usahili wanapoteza.

Yaani ubongo unafanya kazi kwa bidii ukijua Kama Kuna reward ndivyo ulivyo.

Kuna uchunguzi ulifanyiwa kwa monkeys so waliona vitendo vilivyoambatana na reward.


Kama vile umenigusa binafsi Mana nasoma mno mpaka kitandani nakuwa na simu najisomea wife Naona Kama namtesa Ila Kuna skill fulani nakomaa nayo kwa furaha yetu sote baadaye,yaani najua Ile instinctively kuwa hapa sio kabisa,smt namshitukiza Nampa furaha ya kufa mtu ambayo inaweka kumbukumbu kwa ubongo wake inaishi muda mrefu more than three days haija expire.Muda huo nakuwa Niko bize na Mambo yangu
Asanteee kwa neno lakoo zuri..lililonipaa faraja...binafsi ni muelewaaa sanaà najuaa kuishi pamoja muda mrefu Kuna kuzoena Sanaa na kuchukuliana poa mnooo..ndio hivyoo maisha lazimaa yaendeleeeee
 
W
Kwa ufupi,

Nini kinasababisha kumchoka yule uliempenda? Ulimpenda sana kijana fulani, mkawa wapenzi, kadri unavyozidi kuwa naye karibu ndivyo unavyomchoka, mambo yanabadilika kabisa tofauti na mwanzo!

Unampata bi dada mzuri wa kila kitu, unajisemea moyoni huyu ndiye! Mnaanza mahusiano, mapenzi mubashara, lakini mwisho wa siku unamwona si kitu, hakufai, na kuanza kumtafutia sababu za kummwaga!

Uko kwenye ndoa, una mme/mke wako, unathubutuje kutamka kwamba huyo si chaguo lako? Una wazimu?

Nini kinachopelekea kujitokeza kwa hali hiyo? Ulishawahi kuacha/kuachwa bila sababu?

Nini maoni yako?
Walipendeana kitu Fulani hakipo ngumi zinaanza
 
Ila umenichekesha eti ujilaze ulivyozaliwa,nikupe Siri ukiona ivyo Anza kumchokoza kwa kumfanyia kitu ambacho kinamfanya anapoteza akili ya kawaida inakuja akili ya hisia.
Yaani wewe mfanye awashwe ama apate njaa ya chakula shida mnasubiria sie tuwaanze.

Sometime hamia chumba Cha watt lala huko hata wiki nzima ili mpaka aone your absence ubongo wake utamtuma aatakuita.
Niishie hapa bana
😅😅😅😅...Asanteee piaaaaa
 
Wasio wavivu(painful) wa kusoma wasome Ila sio kuhusu mbususu (pleasurable) na ipo kwa English.

ENDORPHINS relieve pains,reduce stress, and boost feelings of pleasure and physical well being
Sources; exercise, sex, laugh, burn essential oils, dance, be creative, eat spicy food, vent about stressful situations, eat dark/brown chochote, drink red wine.
SEROTONIN - stabilizes our mood, improves sleep, and manage emotions appetite and digestion.
sources are: meditation/breathing exercises, do yoga, spend time in nature, listen to white-noise/natural sounds, spend time in the sun, taking vitamin D supplements, infrared sauna, get a massage, go for a hike, play easy- listening music, think positive thoughts.
OXYTOCIN-- known as love hormone, oxytocin is responsible for warm up/ fuzzy feelings that encourage to bond with others.
sources; pet an animal, do a good deed, hug someone, talk to a loved one on phone, spend time with friends, get a massage, vitamin c&d supplement, consume caffeine, sing , do yoga.
DOPAMINE -- is the feel- good hormone responsible for managing the brain reward's centre. its
sources are ; listen to upbeat music, eat a protein- rich diet, exercise, get a good night's sleep, complete a small task, meditate, spend time in the sun, eat chocolate.
 
Back
Top Bottom