Wapendwa nimfanyaje huyu X husband

unaonekana unamdharau baba wa watoto wako,,mwache akukomeshe hata angekuwa ndugu yangu ningemwambia anyamaze kimya kama hayupo duniani
hanikomeshi mimi anamkomesha mwanae, taarifa alikuwa nazo sijamdharau wala kuacha kumshirikisha jambo ila ni yeye ndio anadharau,
 
hanikomeshi mimi anamkomesha mwanae, taarifa alikuwa nazo sijamdharau wala kuacha kumshirikisha jambo ila ni yeye ndio anadharau,

kama ulikuwa unampa heshima yake kama baba wa mtoto sidhani kama angefanya vile
umeshapata bwana mwingine mwenye vihela uchwara sasa unajaribu kumwonyesha madharau
mapenzi ya miafrica ndivyo hivyo!!!!!!!!!!!!!!!
 

sioni kama kulikua na sababu ya baba kuambiwa kua eti namba yake imetumika kwa mtoto wake mwenyewe. huyu baba naona uwezo wake mdogo na sidhani kama pesa ya school fees anayo, hivyo kwa kukwepa hili akaona akane mapema asije akaambiwa amlipie mtoto school fees. wako wengi wa aina hii siki hizi wanaosahau majukumu yao na kutumia ubabe usiokua na maana kama kinga. pole sana mpendwa lakini kutoa namba ya baba kwa swala la mtoto wenu hukufanya kosa na hakuna sababu ya kumwambia baba maana mtoto ni wake pia.
kama anadhani amekukomoa anakosea maana mwisho wa siku mwenye kuathirika na mtoto. Next time usimhusishe kwenye lolote linalohusiana na mtoto maana in a way amemkana. ningekua ni mimi, hata sir name ya mtoto ningempa ya baba yangu mzazi, stupid husband no wonder ndoa ilivunjika. hafai hata kwa kulumangia.
 
Reactions: BAK
Asante sana mpendwa nitazingatia ushauri wako
 
kama ulikuwa unampa heshima yake kama baba wa mtoto sidhani kama angefanya vile
umeshapata bwana mwingine mwenye vihela uchwara sasa unajaribu kumwonyesha madharau
mapenzi ya miafrica ndivyo hivyo!!!!!!!!!!!!!!!

Wewe wasema, but nafikiri baba mtu angemjali mwanae na si mama mtu!!
 
kuachana sio sababu ya kumtesa mtoto ugomvi wetu sisi usingemwingiza mtoto ambaye hana hatia wala hakuomba azaliwe, huwezi ukasema kila kitu maana sindano inavyouma anajua uchungu wake yule aliyechomwa nayo
Wewe ndiye unamakosa mumy kwani umetoa personal contacts bila idhini ya muhusika pia hukumshirikisha muhusika. Pia we umemweleza mwanao ya nini sasa. Inaonyesha una-depression
 
Reactions: EMT
kama ni kufanya kitu basi jifanye wewe mwenyewe. haiwezekani wewe ukae upange mipango halafy utake mtu mwingine ambaye hamna uhusiano wa kihivyo aitekeleze bila kushauriwa. Si ajabu hata hauna habari huyo bwana anapataje mkate wake wa kila siku halafu bila kumshauri unamshushia bili kama hiyo. Hivi ingekwua wewe ndo umefanyiwa hivyo, ungejisikiaje... na yeye ni mtu kama wewe
 
hata kama hatuujui undani huyo jibaba hakupaswa kumuharibia mtoto kihivyo. Hebu imagine mmama kahangaika apate shule halafu mtu analeta habari za kizushi. Ugomvi wa wazazi usihamishiwe kwa watoto.

Unajua Husn hata mie namshangaa sana baba Erick! Hata kama ukweli hatuujui still huyo baba hakupaswa kuhamishia hasira zake kwa mtoto. Hata kama alikuwa hataki/anakwepa kulipa ada alichokifanya ni kibaya sana, bora hata angewapiga kalenda then baadae akamwambia mama mtu kuwa halipi na ajipange yeye kama mama amlipie mwanae kuliko kumpotezea mtoto chance ya kusoma! Yaani majukumu hataki alafu bado anataka kuharibu hadi kwa watoto? ........................
 
Reactions: BAK
mijanaume mingine hovyo. Lea mwanao tupa kule. Janaume gani lisilojali maendeleo ya mwanae? Halifai na shukuru haupo nae
 
Wewe ndiye unamakosa mumy kwani umetoa personal contacts bila idhini ya muhusika pia hukumshirikisha muhusika. Pia we umemweleza mwanao ya nini sasa. Inaonyesha una-depression

Unfortunately, am pressed with time, ningekutolea uvivu nakwambia!
 
hata kama hatuujui undani huyo jibaba hakupaswa kumuharibia mtoto kihivyo. Hebu imagine mmama kahangaika apate shule halafu mtu analeta habari za kizushi. Ugomvi wa wazazi usihamishiwe kwa watoto.

Ahsante sana Husninyo. Nakuunga mkono kwenye hili.
 

isijekuwa baba eric ndio x husband mwenyewe.... Mmmmh!
 
MamaTuli Dada we acha maana nikisema niandike kila kitu watu watamaliza kusoma kesho, yaani ni mwanaume msumbufu, mtesaji mnyanyasaji sijawi kuonaona, huwa atoa hela kwa kusumbuana kwanza utadhani sio mwanae

ah,hii stor ya upande mmoja,nikipata maelezo ya upande wa pili,ntashauri kitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…