Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
- Thread starter
- #21
Sikushangai sababu umeanza kunifahamu tarehe 7 May 2024.Wewe ndiye mbumbumbu, ungekuwa na afya nzuri kiakili ungeleta hapa mjadala wa ushindi mnono tulioupata kile sauzi jana.
Mie nataka tu useme ukweli je umehamia mikia fc msimu huu?