Wapenzi na wanachama wa Simba tunaomba jibu kwenye hili

Wewe ndiye mbumbumbu, ungekuwa na afya nzuri kiakili ungeleta hapa mjadala wa ushindi mnono tulioupata kile sauzi jana.

Mie nataka tu useme ukweli je umehamia mikia fc msimu huu?
Sikushangai sababu umeanza kunifahamu tarehe 7 May 2024.
 
Yaani Chasambi alifanyiwa Sub off halafu akarudi tena uwanjani kufunga ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.

Hii timu ya kitapeli qmmmke kila kinachofanyika usaniii tu ๐Ÿšฎ
Achana nayo. Hamia KMC au Mashujaa kabisa!
 
Tangu lini uliwahi kuwa Simba?
 
Kwa sasa cha muhimu ni matokeo hata kwa email tutapokea tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ