mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
unauhakika we we ni shabiki wa Yanga?
Wa matopeni utamjua tuuu,umeskia ya kigamboni? Mwenyekiti ashafanya yake.Nipo uwanja wa wa kimataifa YANGA Kaunda Stadium hapa Jangwani.Jamani hali ya uwanja ni mbaya maji yamejaa na kuna kundi kubwa la mbuzi wanaranda randa uwanjani shime, shime. Njooni tuyatoe maji yatauangusha uzio uliobaki. Mwenyekiti wetu Yusuf Manji na viongozi wenzako tembeleeni.
Ni aibu kwa klabu ya kimataifa kumiliki uwanja wa aina hii.