Wapenzi....niliwakosa sana

Karibu mamaa......ze avatar and ze colour! Umesoma rules za infidelity?

bado ngoja nikazisome saa hii.....njoo basi hapa Calabash tubinjue w/end
 
Umevaa mgolole Wa rangi gani na umekaa kufashi ya wapi?
 
bado ngoja nikazisome saa hii.....njoo basi hapa Calabash tubinjue w/end

Ha ha aaa!
Usinifanye nipaliwe na haya maji ya dhahabu, kwa kugeuza shingo kama feni mbovu. Nipo hapa kwenye kiwanja hiki hiki, kama vip nijulishe upo pande gani nikuchezeshee mvinyo.

Welcome back madame Preta.
 
Nimegonga baby walker aka vitz hapa ubungo.....ngoja niseto Nao noje hapo.
 
Ha ha aaa!
Usinifanye nipaliwe na haya maji ya dhahabu, kwa kugeuza shingo kama feni mbovu. Nipo hapa kwenye kiwanja hiki hiki, kama vip nijulishe upo pande gani nikuchezeshee mvinyo.

Welcome back madame Preta.

asante sana, bahati mbaya nimeshahama venue
 
Nimegonga baby walker aka vitz hapa ubungo.....ngoja niseto Nao noje hapo.

hiyo umetoana nayo wapi tena huko...well nimeshahama niko brajec huku
 
hiyo umetoana nayo wapi tena huko...well nimeshahama niko brajec huku

haya mama angalia usihame hame sana wasije sema unatafuta.........! Si unajua tena mida hii ni ya wenyewe... kule Jori clu ha ha haaa!
 
Preta
sijui kama wanfaham. ila nakuonaga hapa ukijilaza kifulifuli
 
This message has been deleted by uporoto01.

kwa nini lakini?
 
Karibu tena nafikiri wanaosema walikumiss najua ni kwa sababu ya hiyo avatar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…