Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee kuna Mziki unaitwa THE CONJURING![]()
![]()
![]()
Japo mimi sio mpenzi wa movie lakini hizi ni kati ya movie zinazotisha sana
Ongezea na ya kwako.......
Hiyo drug me to hell huwa siimalizi inakinyaa sanaaaa mkuu![]()
![]()
![]()
Japo mimi sio mpenzi wa movie lakini hizi ni kati ya movie zinazotisha sana
Ongezea na ya kwako.......
Kinyaa gan sasa mkuu?Hiyo drug me to hell huwa siimalizi inakinyaa sanaaaa mkuu
Ina kinyaa kutokana na yule bibi anavyo toa meno nk. Kuna maeneo kadhaa huwa siwezi kutizama hua naona uchafuKinyaa gan sasa mkuu?
Me ndo nairudia ss hvIna kinyaa kutokana na yule bibi anavyo toa meno nk.... kuna maeneo kadhaa huwa siwezi kutizama hua naona uchafu
THE CONJURING kiboko yao, hasa part 1.Weee kuna Mziki unaitwa THE CONJURING
Mkuu unamoyo sanaMe ndo nairudia ss hv![]()
![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa tafuta THE CONJURING 1&2.Mkuu unamoyo sana
Huu mzigo hatariConjuring
We ingiaTHE CONJURING kiboko yao, hasa part 1.
Nampata mkuu. Si ndo kaDirect had THE MUMMY mpya(2017).Pia SAW.We ingia
Google search :James Wan Movies
Huyo ni director wa movies za Horror movie zake ni shida mzee
Ila ndo inavyotakiwa Movies za kutisha angalia usiku ndo unaenjoy. Ile kimoyo kinadunda dunda mpk raha.Sasa ile Conjuring 1 nliangalia na madogo zangu usiku ule palilalika kwa shida sana mpaka leo ule mzigo upo kichwani..
Nnavyoitafuta hyo movie Mungu ndo anajua.Nsyuka... Tz 90's
Hii muvi ni hatar mkuu.Ngoja niwe mzalendo kidogo
Muvi ya kutisha kwangu ni Chite Ukae iliyotengenezwa na Mussa Banzi