stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,990
- 4,241
Hatari sana hii mkuuDaah mkuu huwez amini jana tu nimeiona....yaani nimeona comment yako hadi nimecheka coz kuna mtu nilliangalia nae ndio alikua anaitafakari hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana hii mkuuDaah mkuu huwez amini jana tu nimeiona....yaani nimeona comment yako hadi nimecheka coz kuna mtu nilliangalia nae ndio alikua anaitafakari hapa
Asante sana mkuuukitaka kudownload movie kirahisi kwa single click, andika "index of (jina la movie)" utapata link kibao na zenye matoleo tofauti tofauti (480p,720p,1080p) au tafuta kwa mwaka kwa kuandika "index of mwaka (mf.2017) movies", link utazopata ni za kudownload kwa single click na pia kwa device zote (ondoa iPhones) na huna haja ya kuwa na application nyingine kama torrent client nk.. changamoto ni kwa movie mpya sana huwezi kuzipata kwa njia hii...
mfano wa link hizo ni kama hii
Index of /Film/
Ipi hiyo Dia wangu?Download kwa kutumia apps.
Terrarium TV apkIpi hiyo Dia wangu?
Siwezi sahau hii kitu. Lile jamaa lilisumbua sana, aisee.Tafuta moja inaitwa jeapers creapers kama sjakosea,hyo muvi niliangalia zaman sana ila had leo hua naota
Hatari hyo. Kuna ingine inaitwa, THE EYE.Drag me to hell ndiyo namba moja nyingine zinafuata
naomab elezea unamaanisha nn ukisema app ya torrent,Download app inaitwa yts, na app ya torrent pia utazipata simple tu
Dracula untold au Dracula ipi?Dracula vp unaionaje!
Ova
UsijaliAsante mkuu nitashukuru sana hizo ndio movie zangu ninazozielewaga nitakucontact
Asante le madamUsijali
karibu sana
okay.Asante le madam
Aah mkuu usijari mi kidume cha mbeguokay.
Hivi ushawahi ionaga Silent hill part 1 na two?
Nasikia part 3 inatoka mwaka huu, sijui ishatoka au bado.
Itafute.
ila onyo: usiitazame usiku.
Nishawahi weweseka kwa ajili ya movie hii
poa mkuuAah mkuu usijari mi kidume cha mbegu
@Madam b we kibokoDracula untold au Dracula ipi?
ile naona kama vile haitishi.
kuna hii ya another side of the door ( sijui kama niko sahihi)
kuna mtoto alifariki, mama akaambiwa atapelekwa sehemu ambako anaweza ongea na kucheka na mzimu wa mwanae ila kwa sharti moja tu la katikati ya maongezi mtoto wake akilia kuwa amfungulie mlango ili amuone mama yake, asimfungulie na mama akakubali.
siku ya siku akaenda hiyo sehemu na akawa anaongea na kucheka na mzimu wa mwanae. katikati ya maongezi mwanane akaanza kulia kuwa mama nakufa nikufungulie mlango.
mama huruma ikamjia akafungua mlango...hahahah
kilichoendelea ni hatari.
mzimu wa mtoto ulitafuna kila mtu.
inatisha na kuhuzunisha pia
Ntaitafuta aiseeehDracula untold au Dracula ipi?
ile naona kama vile haitishi.
kuna hii ya another side of the door ( sijui kama niko sahihi)
kuna mtoto alifariki, mama akaambiwa atapelekwa sehemu ambako anaweza ongea na kucheka na mzimu wa mwanae ila kwa sharti moja tu la katikati ya maongezi mtoto wake akilia kuwa amfungulie mlango ili amuone mama yake, asimfungulie na mama akakubali.
siku ya siku akaenda hiyo sehemu na akawa anaongea na kucheka na mzimu wa mwanae. katikati ya maongezi mwanane akaanza kulia kuwa mama nakufa nikufungulie mlango.
mama huruma ikamjia akafungua mlango...hahahah
kilichoendelea ni hatari.
mzimu wa mtoto ulitafuna kila mtu.
inatisha na kuhuzunisha pia