Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Sawa mkuu. Una screenshot nione?
Hiyo YTS ukishaisearch muvi utaona sehemu imeandikwa Magnet na Torrent so wewe nenda hapo Magnet itakuletea info ya hiyo muvi then kwa juu upande wa kulia kuna alama ya tick click hapo itaanza kudownload
 
Sawa mkuu. Una screenshot nione?
Screenshots
Screenshot_2018-11-19-09-49-49.jpeg
Screenshot_2018-11-19-09-49-41.jpeg
 
Texas Chainsaw
Ni hatari usipime yani, inaogofya mno.
Watu wanauliwa kinyama..kinyama..kinyama hatari
 
kwa-muda Nikusahihishe kitu kuhusu Drag Me To Hell
Nikwamba kuna kitu kinaitwa Lamia, Lamia ni laana ambayo unakuwa umekabidhishwa kwa shetani,
Inakuwaje hii laana?
Nikwamba utasumbuliwa na maroho ya ajabu ajabu ndani ya siku saba ikiwa ni kama onyo then usipojirekebisha makosa ile siku ya saba inapotimia ndio shetani anatokea kukamilisha hiyo laana(Lamia)
Unapelekwa kuzimu motoni bila kufa, yaani unalazimishwa kwenda kuchomwa nikama roho yako inakuwa sold kwa shetani bila wewe kupenda,
Hii lana inaondolewa na mtu yule tu ambaye kakupa laana, labda ukaombewe ama kuswaliwa na watu wa imani kwelikweli
Ndio maana mwanzo unaona yule kijana ambaye aliiba mkufu katika duka lakuuza vitu vya kale mwenye duka kwasababu kitu cha thamani kimepotea ndio anatoa hiyo laana kwa mwizi.
Baadaye unamwona tena Mbibi ambaye alikuwa anadaiwa na bank anamta laana mdada ambaye yule bibi anahisi alidharirishwa naye alipokuwa anaombwa msaada.
Ila lakuzingatia hii laana unapewa kupitia kitu ulichoiba au kilichotoka kwako moja kwamoja ndio maana kwa bint alitumia kifungo kilichotolewa katika koti ambalo alikuwa amevaa binti wakati wa purukushani
Kaangalie tena utaelewa vizuri mkuu zingatia sana mganga anachoongea katika scene ya kwanza na yule kijana, nazingatia hadi binti anapopelekwa kwa huyo huyo mma utagundua tabia ya hiyo laana
pia unaweza ku-google ni nikweli ipo laana kama hiyo pia tunaweza kusema ni Tego kwa lugha rahisi.
Hope ukiangalia tena itakuwa mpya sasa
 
kwa-muda Nikusahihishe kitu kuhusu Drag Me To Hell
Nikwamba kuna kitu kinaitwa Lamia, Lamia ni laana ambayo unakuwa umekabidhishwa kwa shetani,
Inakuwaje hii laana?
Nikwamba utasumbuliwa na maroho ya ajabu ajabu ndani ya siku saba ikiwa ni kama onyo then usipojirekebisha makosa ile siku ya saba inapotimia ndio shetani anatokea kukamilisha hiyo laana(Lamia)
Unapelekwa kuzimu motoni bila kufa, yaani unalazimishwa kwenda kuchomwa nikama roho yako inakuwa sold kwa shetani bila wewe kupenda,
Hii lana inaondolewa na mtu yule tu ambaye kakupa laana, labda ukaombewe ama kuswaliwa na watu wa imani kwelikweli
Ndio maana mwanzo unaona yule kijana ambaye aliiba mkufu katika duka lakuuza vitu vya kale mwenye duka kwasababu kitu cha thamani kimepotea ndio anatoa hiyo laana kwa mwizi.
Baadaye unamwona tena Mbibi ambaye alikuwa anadaiwa na bank anamta laana mdada ambaye yule bibi anahisi alidharirishwa naye alipokuwa anaombwa msaada.
Ila lakuzingatia hii laana unapewa kupitia kitu ulichoiba au kilichotoka kwako moja kwamoja ndio maana kwa bint alitumia kifungo kilichotolewa katika koti ambalo alikuwa amevaa binti wakati wa purukushani
Kaangalie tena utaelewa vizuri mkuu zingatia sana mganga anachoongea katika scene ya kwanza na yule kijana, nazingatia hadi binti anapopelekwa kwa huyo huyo mma utagundua tabia ya hiyo laana
pia unaweza ku-google ni nikweli ipo laana kama hiyo pia tunaweza kusema ni Tego kwa lugha rahisi.
Hope ukiangalia tena itakuwa mpya sasa
Hiyo laana ili uipate inabidi upewe kitu nawe ukipokee, ndiyo maana yule bibi ali chantia kile kifungo na akakimkabidhi yule dada akakipokea, kama unakumbuka yule dada alivyoenda kwa yule sijui mganga sijui fortune teller katika kumsoma alimuuliza kuna kitu umepewa/umepoteza dada akabisha jamaa akamwangalia akaona kifungo chake hakipo ndipo akamwambia kifungo
 
kwa-muda Nikusahihishe kitu kuhusu Drag Me To Hell
Nikwamba kuna kitu kinaitwa Lamia, Lamia ni laana ambayo unakuwa umekabidhishwa kwa shetani,
Inakuwaje hii laana?
Nikwamba utasumbuliwa na maroho ya ajabu ajabu ndani ya siku saba ikiwa ni kama onyo then usipojirekebisha makosa ile siku ya saba inapotimia ndio shetani anatokea kukamilisha hiyo laana(Lamia)
Unapelekwa kuzimu motoni bila kufa, yaani unalazimishwa kwenda kuchomwa nikama roho yako inakuwa sold kwa shetani bila wewe kupenda,
Hii lana inaondolewa na mtu yule tu ambaye kakupa laana, labda ukaombewe ama kuswaliwa na watu wa imani kwelikweli
Ndio maana mwanzo unaona yule kijana ambaye aliiba mkufu katika duka lakuuza vitu vya kale mwenye duka kwasababu kitu cha thamani kimepotea ndio anatoa hiyo laana kwa mwizi.
Baadaye unamwona tena Mbibi ambaye alikuwa anadaiwa na bank anamta laana mdada ambaye yule bibi anahisi alidharirishwa naye alipokuwa anaombwa msaada.
Ila lakuzingatia hii laana unapewa kupitia kitu ulichoiba au kilichotoka kwako moja kwamoja ndio maana kwa bint alitumia kifungo kilichotolewa katika koti ambalo alikuwa amevaa binti wakati wa purukushani
Kaangalie tena utaelewa vizuri mkuu zingatia sana mganga anachoongea katika scene ya kwanza na yule kijana, nazingatia hadi binti anapopelekwa kwa huyo huyo mma utagundua tabia ya hiyo laana
pia unaweza ku-google ni nikweli ipo laana kama hiyo pia tunaweza kusema ni Tego kwa lugha rahisi.
Hope ukiangalia tena itakuwa mpya sasa
Yani, muvi yenyewe sijaitizama lakini naona kama manyokanyoka vile.

Sijui tu, lakini naweza sema hawa madirector ni wataalam sana kuzitengeneza hizi muvi.
Kwa jinsi zinavyoanza,mwendelezo wake na hitimisho pia kwakweli zinakuwa zinabeba uhalisia dhahiri.

Waweza fikiri labda huenda hawa madirector wamekuwa wameshiriki hayo maisha katika ulimwengu, halisia yani.

Drag Me To Heal.
Naigongea muhuri rasmi kuitafuta.
 
Back
Top Bottom