Sawa chiefNaomba unitumie picha zake whatsapp kupitia namba yangu hii 0689699704
Sita hailipi mkuu
Kuanzia milioni 5...Bei itapanda kulingana na uboraMkuu Suzuki jimmy inapatikana kwa bei gani??
Unalo kwa sasa??Kuanzia milioni 5...Bei itapanda kulingana na ubora
La sh ngapi unahitaji nikuwekee hapa picha zakeUnalo kwa sasa??
La sh ngapi unahitaji nikuwekee hapa picha zake
Ya showroom ni 30M sasa hapo bei kwa namba D, C na B zitakua chini zaidiToyota Vanguard
Tsh ngapi?
Master of the gameMkuu hiyo 30M haipungui?Pia Kama namba D na C ni Tsh ngapi?
Na Je Hizi gari ambazo sio za Showroom zina Uimara Kweli?