Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Mkuu hiyo 30M haipungui?Pia Kama namba D na C ni Tsh ngapi?
Na Je Hizi gari ambazo sio za Showroom zina Uimara Kweli?
Ni ngumu sana kwa upande wangu kupata chini ya 30M
Namba D na C zinaweza kufika 20M kuanzia 27M

Uimara wa gari inategemea mtumiaji alikua mtunzaji kiasi gani na kabla ununue ni lazima ufanyike ukaguzi na fundi ajiridhishe kama ipo vizuri

Niambie mkuu budget yako ni sh ngapi tuitafute yenye hali nzuri
 
Mitsubish l200
4D56
Mwaka:2009
2490CC
Diesel
Manual
4wd
1488000km
Bei:17M
Mawasiliano :0689699704
 
Master of the game,
Nipe bei ya toyota voltz ya showroom.
Je hapo ipo iliyo ktk hali nzur
Inaenda sh ngap?
 
Bmw 3 series
Mwaka:2008
Full option
1846CC
58000km
Bei:25M pamoja na usajili
Mawasiliano :0689699704
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…