Master of the game
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 5,858
- 2,697
Ni ngumu sana kwa upande wangu kupata chini ya 30MMkuu hiyo 30M haipungui?Pia Kama namba D na C ni Tsh ngapi?
Na Je Hizi gari ambazo sio za Showroom zina Uimara Kweli?
Namba D na C zinaweza kufika 20M kuanzia 27M
Uimara wa gari inategemea mtumiaji alikua mtunzaji kiasi gani na kabla ununue ni lazima ufanyike ukaguzi na fundi ajiridhishe kama ipo vizuri
Niambie mkuu budget yako ni sh ngapi tuitafute yenye hali nzuri