Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Habari wakuu Nina wazungu wangu kutoka ulaya wanakuja mwezi wa 11, walikuwa wanataka gari ya kukodisha waendeshe kutoka Arusha to DSM watakaa nayo kwa siku 5, hivyo wanatafuta kampuni itayoweza kuwakodishia hiyo mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli kaka,iLA zinatamanisha, kama una moyo mwepesi unaweza pita shortcut😯😯
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…