Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Mkuu huu uzi unaelekea kuuharibu, magar hutoi detail zakutosha kama zamani, gar unapost picha chache tena za nje, ndani huonyeshi kwenye baadhi ya magar, hakuna detail za klm za gar, picha nyingine zimekaa upande hata namba za magar hazionekani, nnakusihi badilika
 
Naomba ushuhuda wa mtu yoyote aliyenunua gari inayotokana na hii thread!

Duh thread ina mwaka sasa hata mtu mmoja aliyekuja kulalamika hakuna, watu tunanunua na tunauza kwa raha zetu. Kiufupi humu jukwaani kwenye biashara nawakubali huyu bwana Master of the Game, na Mwl RCT, wako very smart. Nunua ndugu
 
Mkuu huu uzi unaelekea kuuharibu, magar hutoi detail zakutosha kama zamani, gar unapost picha chache tena za nje, ndani huonyeshi kwenye baadhi ya magar, hakuna detail za klm za gar, picha nyingine zimekaa upande hata namba za magar hazionekani, nnakusihi badilika
Mkuu asante sana kwa ushauri wako, sitaki kuongea mengi zaidi ya vitendo .Nakuahidi kuzingatia ushauri wako
 
Nissan Xtrail for sell..klm. 90000 na imetunzwa vizuri inauzwa mil. 10 tu negt
IMG_20181117_174348_122.jpg
 
Mkuu, unafanya kazi nzuri mno, ugomvi wetu tumehamishia kwa Traffic kwa sasa.
 
Toyota Crown Royal
Mwaka:2006
2490CC
85000Km
Bei: Milioni 9.5
Mawasiliano:0658124554
Gari bado mbichi kabisa namba DM , nipigie uje kukagua
IMG-20181118-WA0107.jpg
IMG-20181118-WA0106.jpg
IMG-20181118-WA0101.jpg
IMG-20181118-WA0105.jpg
IMG-20181118-WA0103.jpg
IMG-20181118-WA0106.jpg
 
Thanks mkuu kwa feedback
Duh thread ina mwaka sasa hata mtu mmoja aliyekuja kulalamika hakuna, watu tunanunua na tunauza kwa raha zetu. Kiufupi humu jukwaani kwenye biashara nawakubali huyu bwana Master of the Game, na Mwl RCT, wako very smart. Nunua ndugu
 
Mkuu master, habari za Leo ,nimepita sehemu nikamuonesha mtu huu Uzi wako amefurahi sana.....swali lake ni je hivi kuna uwezekano akapata Noah new model akijipanga akawa na sita?
 
Mkuu master, habari za Leo ,nimepita sehemu nikamuonesha mtu huu Uzi wako amefurahi sana.....swali lake ni je hivi kuna uwezekano akapata Noah new model akijipanga akawa na sita?
Zipo mkuu nicheki WhatsApp 0658124554 nikutumie picha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom