Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Master naona umeamua kutukomoa mzee hzo gar zabei hyo haxiendan na uzi huu weka Bei za kunyonga za kuchinja wengi humu hatuziwezi ukiangalia na usawa huu niwekee Nissan xtrail Kali ya Bei ndogo kabisa tuone Kama kweli unaishi Tanzania.
 
Master naona umeamua kutukomoa mzee hzo gar zabei hyo haxiendan na uzi huu weka Bei za kunyonga za kuchinja wengi humu hatuziwezi ukiangalia na usawa huu niwekee Nissan xtrail Kali ya Bei ndogo kabisa tuone Kama kweli unaishi Tanzania.
Mkuu you made my day, comrade Master[emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Master naona umeamua kutukomoa mzee hzo gar zabei hyo haxiendan na uzi huu weka Bei za kunyonga za kuchinja wengi humu hatuziwezi ukiangalia na usawa huu niwekee Nissan xtrail Kali ya Bei ndogo kabisa tuone Kama kweli unaishi Tanzania.
Usiache kufuatilia uzi mkuu,tangia jana nipo chimbo nakutafutia hiyo Xtrail

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…