Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Naitaji gari sio namaba sa sim gari unayoo huna?Sorry nilikua sijakuelewa,kama unataka Toyota HR nicheki 0658124554
Naitaji gari sio namaba sa sim gari unayoo huna?
Ukaulizwa HR inasimama Kama harrierToyota HR UNAYO
Akarudi Tena kwa kukuplease unamaanisha Nini kwenye hiyo Toyota HR akataka muwasiliane ili aelewe HR ni Nini.Unamaanisha Harrier,ya sh ngapi?
Ulivyo pimbi hata kuandika auwezi jamaa amekuwa muhungwana Sana kwako. Master of the game usijibu mapimbi kama Hawa.Sorry nilikua sijakuelewa,kama unataka Toyota HR nicheki 0658124554
Naitaji gari sio namaba sa sim gari unayoo huna?
Ok naona udhan natafuta IST[emoji23] povu la nn kwahyo mm harrier siijui au toyota HR kwako msamiatUmeuliza kisataharabu Ukaulizwa HR inasimama Kama harrierAkarudi Tena kwa kukuplease unamaanisha Nini kwenye hiyo Toyota HR akataka muwasiliane ili aelewe HR ni Nini.Ulivyo pimbi hata kuandika auwezi jamaa amekuwa muhungwana Sana kwako. Master of the game usijibu mapimbi kama Hawa.
UnamaanishaToyot C-HR?Toyota HR UNAYO
Unayo toyota cami kwa sasa. Simu yako haipatikani mkuuNissan Xtrail na Toyota Cami naona zitafaa zaidi maana ziko juu hii wish itakusumbua kwenye mashimo
YapUnamaanishaToyot C-HR?
Unayo toyota cami kwa sasa. Simu yako haipatikani mkuu
View attachment 1217618Unayo toyota cami kwa sasa. Simu yako haipatikani mkuu
Nissan ex trail inaitajika bajet 6 million namb c b
Naweza kupata Starlet kwa 3.5m iliyo kwenye hali nzuri mkuu...note mm ni kipato changu kidogo sitaki niwe rafiki na fundi