Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Toyota Kluger V
Mwaka:2003
2360CC
Engine:2AZ
115000km
Bei: Milioni 16
Mawasiliano:0658124554

Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Premio New
Cc1490
Full music
Full Ac
Sport rims
Gari ni mpya ukilipia inasajiliwa

Price ni 12.8 million

Contact 0763419265

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG-20200124-WA0089.jpeg
    84.7 KB · Views: 3
Toyota Hilux Double Cabin
Mwaka:2012
Engine 😀4D
Diesel
Manual
Bei: Milioni 60
Mawasiliano:0658124554

Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Master naomba tu kujua utaratibu wa kutuma gari kutoka dar kuja mkoani hasa mwanza unalishugulikia kiaje? Nikinunua gari kwako ya milioni 6 au zaidi unaweza kuniletea mwanza na kwa gharama gani hasa? Au utaratibu ni lazima nije mwenyewe dar?
 
Kama ukiridhika tukague gari kwa niaba yako na tufanye malipo kwa niaba swala la kuleta linawezekana ....Mara nyengine hata anakuja mtu kutoka mkoani na sio dereva hua tunakubaliana na kumpeleka mpaka anakoenda... Kikubwa makubaliona tu
Master naomba tu kujua utaratibu wa kutuma gari kutoka dar kuja mkoani hasa mwanza unalishugulikia kiaje? Nikinunua gari kwako ya milioni 6 au zaidi unaweza kuniletea mwanza na kwa gharama gani hasa? Au utaratibu ni lazima nije mwenyewe dar?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…