Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Toyota RAV4
Engine:1AZ D4
1990CC
Bei: Milioni 10
Mawasiliano:0658124554

Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lako
IMG-20200210-WA0016.jpeg
IMG-20200210-WA0014.jpeg
IMG-20200210-WA0020.jpeg
IMG-20200210-WA0022.jpeg
IMG-20200210-WA0014.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toyota Alphard
Mwaka:2007
2360CC
43000km
Rear and front camera
Bei: Milioni 15.8
Mawasiliano:0658124554

Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lako
94367360.jpeg
766009676.jpeg
56862478.jpeg
653434811.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Crown athletes
Mwaka:2007
2490CC
86000km
Tairi mpya
Full a/c
Bei: Milioni 14
Mawasiliano:0658124554

Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lako
IMG-20200210-WA0033.jpeg
IMG-20200210-WA0032.jpeg
IMG-20200210-WA0035.jpeg
IMG-20200210-WA0034.jpeg
IMG-20200210-WA0042.jpeg
IMG-20200210-WA0052.jpeg
IMG-20200210-WA0051.jpeg
IMG-20200210-WA0036.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Harrier new model
Mwaka:2006
2360CC
74000km
Namba DNS
Tairi zote 4 mpya
Bei: Milioni 25
Mawasiliano:0658124554

Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lako
IMG-20200211-WA0023.jpeg
IMG-20200211-WA0021.jpeg
IMG-20200211-WA0020.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG-20200211-WA0019.jpeg
    IMG-20200211-WA0019.jpeg
    94.8 KB · Views: 2
Toyota Voltz
1790CC
Bei: Milioni 8.5
Mawasiliano:0658124554

Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lakoView attachment 1354473View attachment 1354474View attachment 1354475View attachment 1354476View attachment 1354477

Sent using Jamii Forums mobile app

Blaza, hii kauli unaizungumziaje:
Ukinunua gari bongo au kwa mtu ujue tayari lina matatizo ndio maana analisukuma litoke.
Usithubutu kununua gari bongo, bora kuagiza.
 
Hii kauli haina ukweli , umeona kwamfano hiyo Allion namba DP mwenyewe kaagiza katumia miezi michache anataka ahamie kwenye Subaru..
Kuna watu wanashikika na hana kitu cha kumkwamua zaidi ya gari yake je huyu nae ni gari bovu?

Vipi nawewe kama ukinunua hiyo gari mpya hutauza mpaka iwe mbovu ? Hakuna kukamatwa na shida wala kubadili gari mpaka iwe mbovu.

Mimi nionavyo mtu kununua gari mbovu ni kutaka kwake ,kama huyajui magari vizuri kwanini usitafute fundi muaminifu akukagulie kabla hujafanya maamuzi yakununua gari .

Blaza, hii kauli unaizungumziaje:
Ukinunua gari bongo au kwa mtu ujue tayari lina matatizo ndio maana analisukuma litoke.
Usithubutu kununua gari bongo, bora kuagiza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom