Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Rav4 killitime
Mwaka:2002
Cc1790,vvti
Bei :13.5M
Mawasiliano :0689699704
FB_IMG_1513485319743.jpg
FB_IMG_1513485310691.jpg
FB_IMG_1513485319743.jpg
FB_IMG_1513485317321.jpg
 
Wakuu habari zenu, leo nimeamua kuja na mjumuiko wa magari ambayo naamini yatawafaa wengi.Nayaorodhesha hapa kama ifuatavyo.
NB:Gari nyingi nzuri zipo post za chini, kama hutaweza kupitia zote nakushauri upitie japo post 5 kuanzia chini kuja juu.
1:Toyota mark x ya mwaka 2004,imetembea km 203000,engine 2990cc bei ni 8.3MView attachment 621422View attachment 621423View attachment 621424View attachment 621425
2: Noah Townace ya mwaka 2001,imetembea km 128000 bei ni 12.5MView attachment 621428View attachment 621430View attachment 621432
3:Toyota Noah sr40,bei 8.5MView attachment 621433View attachment 621434View attachment 621436
4😛ick up double cabin engine 3l, bei 17MView attachment 621440View attachment 621442
5:Kluger new model, 4cylinder bei 20MView attachment 621446View attachment 621447View attachment 621448View attachment 621449View attachment 621451
6😛rado Tx imetembea km 57000 ,engine 3rz, bei 26MView attachment 621454View attachment 621455View attachment 621457
Tuwasiliane kupitia 0689699704,karibuni sana.
Je unaweza ukaweka gari aina ya Aphard 5? na inakwenda kwa kiasi gani?
 
I wish vigari kama CAMI au Passo vingekuwa na uimara wa hii gari, au walau wangeitoa model mpya warekebishe hiyo posture ya nyuma, gari ngumu sana hii tatizo shape tu
Kweli mkuu Probox ni imara lakini muundo wake hauvutii hasa kwa vijana
 
Mkuu crown athlete iliyopo kwenye bandiko No. 599 bei ya mwisho ngapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom