Master of the game
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 5,858
- 2,697
Jamaa alieiomba alinilimit kwahiyo nikajikuta nimeweka fixed price ambayo ni 15MMkuu crown athlete iliyopo kwenye bandiko No. 599 bei ya mwisho ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alieiomba alinilimit kwahiyo nikajikuta nimeweka fixed price ambayo ni 15MMkuu crown athlete iliyopo kwenye bandiko No. 599 bei ya mwisho ngapi?
Wacha wakuu waje watusaidie kufahamu hilonina ndoto ya kumiliki Lamborghini, nisaidieni bei nijue ili niendelee kujipanga
12.5M
Zipo mkuu lakini sio kwa budget hiyoHello. Mark 2 grande inahitajika namba DE.. na kuendelea bajeti kuanzia M6 mpaka 65.
Samahani mkuu, acha niangalie upatikanaji wakeMkuu nimekuwa nikikuulizia kuhusu Suzuki jimny cc 660,
below 80,000km bila mafanikio..
Nipe bei ya hiyo gari mkuu
12 mil.. Kama bado ipo ??Toyota Rav4
Mwaka 1999
Injini :3S
Km71000
Bei :14.5M
Mawasiliano:0689699704View attachment 646013View attachment 646014
Niongeze sh ngapi grande DE kuanzia?Zipo mkuu lakini sio kwa budget hiyo
Sawa mkuu..Samahani mkuu, acha niangalie upatikanaji wake
Imeuzwa12 mil.. Kama bado ipo ??
Naikusanyia mkwanjwa hv karibu nitakucheki lkn vp Mazungumzo siyatakuwepoToyota Vanguard, 2010 model, engine type vvti, 4cylinder,bei 38M cc2362View attachment 623876View attachment 623879View attachment 623882
Ndio mkuu, ukifika ofisini gari ukaiona na nia tukaiona tunazungumza vizuri tuNaikusanyia mkwanjwa hv karibu nitakucheki lkn vp Mazungumzo siyatakuwepo
Poa mkuuNdio mkuu, ukifika ofisini gari ukaiona na nia tukaiona tunazungumza vizuri tu
Terios kid used in Tz, bei 7M