Silvester Kapala
Senior Member
- Aug 26, 2017
- 140
- 103
Naomba kuulza wakuu hv Mark x iko bei gan hili gar nalielewa sana naksanya Visnt nikafnye yngu na msaada zaid ubora wake maana me sio mzoef kbsaa wa ndinga so msaada wenu tafadhal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishatoka hii chiefHebu let maelezo ya hii Kitu chief namba yake Km iko wapi na kama ina shida yoyote
Kwa uzoefu wangu kuanzia 8.5M insists mark X nzuri ambayo imetumika, bei itapanda kulingana na model year na muda gani gari imetumika tangu isajiliwe hapa nchini.Naomba kuulza wakuu hv Mark x iko bei gan hili gar nalielewa sana naksanya Visnt nikafnye yngu na msaada zaid ubora wake maana me sio mzoef kbsaa wa ndinga so msaada wenu tafadhal
Master Nadia au Ipsum iliyotulia namba D naweza kuipata kwa kiasi gani?3.5M Haitoshi mkuu
Ungenitajia na jina la gari ingekua vizier zaidi ili niweze kuitambua ah niambie ni post namba ngapi nipate kukufahamisha cc zake.HIYO T 234 BPL ni sawa Na CCC ngapi?
Au 6 cylinder ndo inayokula sana mafuta? Sijui mambo ya magari nieleweshe
Kuanzia 8.5M utapata mkuuMaster Nadia au Ipsum iliyotulia namba D naweza kuipata kwa kiasi gani?
Mkuu Toyota Vanguard nyeusi,Silver Tsh ngapi Mkuu?Toyota Ist namba (DJS) kwa 7.5M
Ni gari ya mwaka 2002
1200CC
90000km
Imerudiwa rangi
Haina shida yoyote kiufundi
Mawasiliano :0689699704View attachment 737525View attachment 737526View attachment 737527View attachment 737528View attachment 737529View attachment 737530
Ya showroom utapata kwa 30M na iliyotumika itakua chini ya hiyo beiMkuu Toyota Vanguard nyeusi,Silver Tsh ngapi Mkuu?
Vipi namba b iliyotunzwa vizuri, ni manual inataka 7MMkuu emb nipe bei ya suzuki jimmy tena ikiwezekana ile ya cc 600 kuanzia namba c au ikiwezekana namba d
Kuna hii inataka 5.5MMkuu Suzuki carry iliyopo kwenye good condition kiasi gani