Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Toyota Harrier
Old model
4 cylinder
3s engine
Bei:7.5M
Mawasiliano :0689699704
IMG-20180411-WA0084.jpg
IMG-20180411-WA0070.jpg
IMG-20180411-WA0067.jpg
IMG-20180411-WA0084.jpg
 
Nashukuru sana jinsi unavyojitahidi kutuunganisha kati ya muuzaji na mnunuzi humu
Jambo moja ningependa kukushauri ni usimamizi wa biashara pale unapounganisha mteja na mwenye Mali
Mimi kupitia kwako nimenunua Vitz uliniunganisha na muuzaji kumbe nae Ile gari alinunua na hakuwahi kufanya transfer,sasa nataka kufanya transfer nimekwama kwani kinatakiwa kitambulisho cha mmiliki anayeonekana kwenye kadi kwa kweli imekuwa mtihani
Nimeamua kuandika hapa ili iwe angalizo kwa wengine na ushauri kwako uwe unasimamia show mwanzo mwisho
 
Nashukuru sana jinsi unavyojitahidi kutuunganisha kati ya muuzaji na mnunuzi humu
Jambo moja ningependa kukushauri ni usimamizi wa biashara pale unapounganisha mteja na mwenye Mali
Mimi kupitia kwako nimenunua Vitz uliniunganisha na muuzaji kumbe nae Ile gari alinunua na hakuwahi kufanya transfer,sasa nataka kufanya transfer nimekwama kwani kinatakiwa kitambulisho cha mmiliki anayeonekana kwenye kadi kwa kweli imekuwa mtihani
Nimeamua kuandika hapa ili iwe angalizo kwa wengine na ushauri kwako uwe unasimamia show mwanzo mwisho
Unacho sema ni kweli lengo ni zuri lakin hakuna physical connection kuna siku nilitafuta gari kuanzia asubuh mpaka usiku sikupata ilo gari naishia kuongea na jamaa kwa njia ya simu tu.Mbaya zaidi kuna sehemu unafika gari lenyewe halipo kali zaidi unamkuta mwenye gari anakwambia hauzi

Ushauri wa huyu jamaa ni mzuri kwako bro ufanyie kazi kabla ya kutangaza kaz jiridhishe ilo gari lipo ,document muhimu zipo na mwenye gari kweli anauza ?

Kupitia wewe nilipata izo changamoto ukiachana na hayo unafanya kazi nzuri na very soon nitarud kwako unitafutie nding'a
 
Nashukuru sana jinsi unavyojitahidi kutuunganisha kati ya muuzaji na mnunuzi humu
Jambo moja ningependa kukushauri ni usimamizi wa biashara pale unapounganisha mteja na mwenye Mali
Mimi kupitia kwako nimenunua Vitz uliniunganisha na muuzaji kumbe nae Ile gari alinunua na hakuwahi kufanya transfer,sasa nataka kufanya transfer nimekwama kwani kinatakiwa kitambulisho cha mmiliki anayeonekana kwenye kadi kwa kweli imekuwa mtihani
Nimeamua kuandika hapa ili iwe angalizo kwa wengine na ushauri kwako uwe unasimamia show mwanzo mwisho
Samahani sana mkuu, jamaa alienieleza hilo kwamba wao walinunua hiyo gari kwa huyo ambae jina lipo kwenye kadi na hawakuwahi kubadilisha.
Na mara zote hua transfer inafanyika kabla hamjaachana na huyo mwenye gari yaani mnafanya mchakato wote mkiwa pamoja
Lakini jambo lengine la msingi ni kuhakikisha kwamba huyo mwenye gari jina lake ndio lipo kwenye kadi hili unathabitisha kupitia kitambulisho chenye picha yake, na hua natabahisha wateja wangu lakini kwako ilikua ngumu kukutanabahisha kutokana na ugumu wa mawasiliano.
Pamoja na yote hayo siwezi kukwepa hapo ni jukumu langu kweli kuhakikisha yote hayo. Nikuombe tushirikiane pamoja kufanikisha hiyo transfer mkuu na samahani pia kwa usumbufu
 
Raum new model unayo namba c bei isizidi mln 7

Ova
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom