Wapenzi wa muvi; Je, Iko Uwais ndio mrithi wa Tonny Ja, Donie Yen, Jet le na wengineo (picha & Video)

Wapenzi wa muvi; Je, Iko Uwais ndio mrithi wa Tonny Ja, Donie Yen, Jet le na wengineo (picha & Video)

Hiyo namba tano nilimuonea huruma Doni. kama kweli vile hah hah hah.


Binafsi nimemuona kwenye Raid 2, ni mpiganaji mzuri sana ....
Yote tisa kwa sasa Mimi naona Donnie Yen bado yuko kwenye kilele cha peke yake kuliko hata hao wote uliowataja...ushahidi wa haya tafuta movies zifauatazo
1. Legend of the fist (paroos) , humo anapiga mkono na kulia kama Bluce Lee
2. The Iceman 2014, hii ni fair fight
3. Ip Man 2
4. Ip Man 3
5. Kung Fu Jungle
Donnie Yen , aisee namkubali sana huyu jamaa
 
Picha za mapigano siku izi mtu yeyote anaweza kutokana na technology iliyopo

Mara nyingi casting inafanyika kutokana na umaarufu wa actor katika soko la filamu na uchaguzi wa waandaaji wa filamu ( Hollywood is the one who decided)

Actor kama Scot Adkins al maarufu kama Boyka ni mzuri sana kwenye mapigano kuwazidi hata wakina Jason Statham lakini kipindi chote alikuwa hajulikani ingawa ameshiriki muvi nyingi sana maarufu ambazo ukiambiwa huwezi kuamini kama yupo kwenye muvi izo maana ulikuwa umjui mpaka pale alipocheza Undisputed kama adui boyka ndipo alipotambulika na kuanza kua casted kama starring

So huyo Iko Uwais kwa sasa yuko vizuri ndio maana unamkuta katika muvi za A class actors (Hollywood) kama Mark Wahlberg hiyo 22 Miles

Kuna actors wakubwa wa Asia ambao walikuwa wanatamani sana Hollywood lakini hawakufanikiwa hivyo jamaa ndio wakati wake huu
Scot Adkins kwa mara ya kwanza nilikuona ktk special force iliyochezwa Russia acha ile ya wafaransa ya yule black.
 
Picha za mapigano siku izi mtu yeyote anaweza kutokana na technology iliyopo

Mara nyingi casting inafanyika kutokana na umaarufu wa actor katika soko la filamu na uchaguzi wa waandaaji wa filamu ( Hollywood is the one who decided)

Actor kama Scot Adkins al maarufu kama Boyka ni mzuri sana kwenye mapigano kuwazidi hata wakina Jason Statham lakini kipindi chote alikuwa hajulikani ingawa ameshiriki muvi nyingi sana maarufu ambazo ukiambiwa huwezi kuamini kama yupo kwenye muvi izo maana ulikuwa umjui mpaka pale alipocheza Undisputed kama adui boyka ndipo alipotambulika na kuanza kua casted kama starring

So huyo Iko Uwais kwa sasa yuko vizuri ndio maana unamkuta katika muvi za A class actors (Hollywood) kama Mark Wahlberg hiyo 22 Miles

Kuna actors wakubwa wa Asia ambao walikuwa wanatamani sana Hollywood lakini hawakufanikiwa hivyo jamaa ndio wakati wake huu
Huyo Mark Wahlberg huwa ana vituko sana na bublish zake mdomoni
 
mtoa mada ulipo weka the raid imenibidi kukubalianana wewe jamaa aweza kuwa mrithi wa hao wababe

ila kuna black mmoja nae ana ngumi tamu sana simkumbuki jina, kuna muvi moja aliigiza akiwa gerezani kama sikosei alitoa mkong'oto wa haja mule
Anaitwa Michael Jai White
 
Uweis ni mzuri lakini hajafikia rekodi za;
Don Yen
Jet lee
Ton Jaa
Reeves
Ila akipata casting nyingi anaweza kuwafikia kumbuka ubora unatengenezwa atakuwa anaimprove day by day.
Pia tukumbuke Hollwood ndo wanatuchagulia nani awe bora kutokana na casting na thamani ya actor.
 
mtoa mada ulipo weka the raid imenibidi kukubalianana wewe jamaa aweza kuwa mrithi wa hao wababe

ila kuna black mmoja nae ana ngumi tamu sana simkumbuki jina, kuna muvi moja aliigiza akiwa gerezani kama sikosei alitoa mkong'oto wa haja mule
Blood and bone? Jamaa moja kavimba hivi?
 
Hii umeicheki..?
The Tournament
Yes humo kuna first black spider man aisee acha hizo action za humo si za nchii hiii...
Pastor anaambiwa mbona haji defend hajui kuwa yupo ktk tournament....niliiona muda kidogo 2010 kama sikosei
 
Inaitwa redemption...

Blood and bone unaijua?
Nimeiona zamani mnooo hiyo muvii..
Kwenye hii muvi Michael alifanyiwa kitu kibaya na Joker..
Joker alimwambia..
Why so serious? Let me put smile to your face..
akamchana mdomo..
The Dark Knight
 
Bado sana cox ukiangalia hao malegend wamepitia long way mpaka kufikia hapo,jamaaa yuk vzur but hyo level ajafikia
 
Yes humo kuna first black spider man aisee acha hizo action za humo si za nchii hiii...
Bahat mbaya hii muvi haikufanikiwa kimauzo. Ila action zake ziko bombs aisee mkono Wa kufa MTU..
WWE nao waliiga wakatengeneza muvi ya The Condemned story kama hiii sema walichezea msituni.. Staring STEVE AUSTIN
 
Uweis ni mzuri lakini hajafikia rekodi za;
Don Yen
Jet lee
Ton Jaa
Reeves
Ila akipata casting nyingi anaweza kuwafikia kumbuka ubora unatengenezwa atakuwa anaimprove day by day.
Pia tukumbuke Hollwood ndo wanatuchagulia nani awe bora kutokana na casting na thamani ya actor.
Ila Donie na Jet no moto Mzee hats mm napiga salute..
 
Bahat mbaya hii muvi haikufanikiwa kimauzo. Ila action zake ziko bombs aisee mkono Wa kufa MTU..
WWE nao waliiga wakatengeneza muvi ya The Condemned story kama hiii sema walichezea msituni.. Staring STEVE AUSTIN
Wwe movie nzuri naona ni ile ya ted debias Raid kama sikosei alicheza kama sniper
 
Back
Top Bottom