Wakuu nawasalimu habari za hapa jamvini
Karibuni sana katika mjadala huu ambao umelenga hasa kusaidiana kujua zaidi ya huu mziki wa country ambao ni mziki unaokongo moyo na kukufanya kama unashida usahau kwa mda..
kwangu mm nilipenda kujua zaidi wakali wa hiz nyimbo...kwa sasa top ten zangu ni
1. Don william
2.Kenny roggers
3.Dolly parton
4.Alan Jackson
5.John cash
6.george strait
7. Tim mcGraw
8.Taylor swift
9.John Denver
10.george florida
Naombeni kwa anaefahamu cjajua ni yupi alieimba wimbo huu chorus inasema
"No matter wht the world may say abt me (abt me)
I know ur love will alwayz see me thru (see me thru)
I love u for the hundreds thousands reasons.
But most of all I love u bse ur u"
Nashukuru kwa atakaenambia jina la wimbo na artist
Kwa hiyo ni wewe yu ndio unajua kuwa hayo ni ya waimbaji?
Umekimbilia kuandika ukizani?
Kwa hiyo haujui maana ya ...nyimbo hizi....
Au kaongelea nyimbo gani kwenye uzi huu? Nimeandika sababu sina muda wa kuongelea lolote zaidi.
Basi ukajiona mshindiiiii
Hao ni waimbaji sio nyimbo zenyewe. Binafsi sijawahi mfikiria zaidi ya Kenny Rogers na Don.
Hallow .........I'm Johhny Cash......Wakuu nawasalimu habari za hapa jamvini
Karibuni sana katika mjadala huu ambao umelenga hasa kusaidiana kujua zaidi ya huu mziki wa country ambao ni mziki unaokongo moyo na kukufanya kama unashida usahau kwa mda..
kwangu mm nilipenda kujua zaidi wakali wa hiz nyimbo...kwa sasa top ten zangu ni
1. Don william
2.Kenny roggers
3.Dolly parton
4.Alan Jackson
5.John cash
6.george strait
7. Tim mcGraw
8.Taylor swift
9.John Denver
10.george florida
Wakuu nawasalimu habari za hapa jamvini
Karibuni sana katika mjadala huu ambao umelenga hasa kusaidiana kujua zaidi ya huu mziki wa country ambao ni mziki unaokongo moyo na kukufanya kama unashida usahau kwa mda..
kwangu mm nilipenda kujua zaidi wakali wa hiz nyimbo...kwa sasa top ten zangu ni
1. Don william
2.Kenny roggers
3.Dolly parton
4.Alan Jackson
5.John cash
6.george strait
7. Tim mcGraw
8.Taylor swift
9.John Denver
10.george florida
I love u by jim reeves.
Kama sijakosea
Nashangaa hata mtoa mada kwenye "top ten" yake hajamuweka the legendary Jimmy Reeves!!!
"A Thing Called Love"
Six foot six he stood on the ground
He weighed two hundred and thirty-five pounds
But I saw that giant of a man brought down
To his knees by love
He was the kind of man that would gamble on luck
Look you in the eye and never back up
But I saw him crying like a little whipped pup
Because of love
You can't see it with your eyes, hold it in your hands
But like the wind it covers our land
Strong enough to rule the heart of any man
This thing called love
It can lift you up never let you down
Take your world and turn it around
Ever since time nothing's ever been found
That's stronger than love
Most men are like me, they struggle and doubt
They trouble their minds day in and day out
Too busy with livin' to worry about
A little word like love
But when I see a mother's tenderness
As she holds her young close to her breast
Then I thank god that the world's been blessed
With a thing called love
You can't see it with your eyes, hold it in your hands
But like the wind it covers our land
Strong enough to rule the heart of any man
This thing called love
It can lift you up never let you down
Take your world and turn it around
Ever since time nothing's ever been found
That's stronger than love
Ever since time nothing's ever been found
That's stronger than love
Wakuu nawasalimu habari za hapa jamvini
Karibuni sana katika mjadala huu ambao umelenga hasa kusaidiana kujua zaidi ya huu mziki wa country ambao ni mziki unaokongo moyo na kukufanya kama unashida usahau kwa mda..
kwangu mm nilipenda kujua zaidi wakali wa hiz nyimbo...kwa sasa top ten zangu ni
1. Don william
2.Kenny roggers
3.Dolly parton
4.Alan Jackson
5.John cash
6.george strait
7. Tim mcGraw
8.Taylor swift
9.John Denver
10.george florida
Hahahahahaa nimesoma hapa nikakumbuka na kitu kuhusu jana nikacheka sana.
Kwa hiyo ni wewe yu ndio unajua kuwa hayo ni ya waimbaji?
Umekimbilia kuandika ukizani?
Kwa hiyo haujui maana ya ...nyimbo hizi....
Au kaongelea nyimbo gani kwenye uzi huu? Nimeandika sababu sina muda wa kuongelea lolote zaidi.
Basi ukajiona mshindiiiii