Ni kwamba.....
1. Israel ni Marekani na Marekani ni Israel
2. Wale wote wanaoichukia Israel huku wakiwaunga mkono Hamas wanaofadhiliwa na Iran, Yemen na Lebanon ni WAPUMBAVU
3. Tokea miaka 4000 iliyopita hiyo ni Ardhi ya Israel na itaendelea kuwa Ardhi ya Israel daima na milele.
4. Ukiichokoza tu Israel tegemea Maafa makubwa na tutakupata popote pale utakapojificha
5. Vita yetu na Hamas haijaisha na itaisha pale tu ambapo Watasalimu amri na pia Kuwaambia hao Wanaowatuma ( hasa Iran ) nao Wasalimu amri
6. Israel inapambana na hawa Magaidi na Wauwaji wa Watu kwa Maslahi mapana ya si tu Israel bali hata Marekani na dunia nzima kwani tunajua kuwa Iran ndiyo mchochezi Mkuu wa Vitendo vyote vya Kigaidi duniani na kwamba hata ule Ulipuwaji wa Mabomu katika Balozi za Marekani kule Barani Afrika Iran ndiyo Ilifadhili wale Magaidi kwakuwa tokea mwaka 1979 Iran ina Chuki Kubwa na Kisasi na Taifa la Marekani na Washirika wake hasa Sisi Israel ambao ni Washirika Wakuu wake kwa eneo la Mashariki ya Kati
7. Nawashukuru Marais Biden na hata aliyekuwa Rais Trump kwa kuendelea Kushirikiana nasi Israel na kutusaidia na Silaha zingine za Kupambana na hawa Magaidi na Wapumbavu, pia nawashukuru Wamarekani wote kwa Kutuamini mno Sisi Waisrael na kwamba tunaomba Marekani iendelee kutupa Silaha zaidi upesi sana ili tumalize kabisa Shughuli huko Mashariki ya Kati ili kutulie na dunia nayo itulie. Wale wanatuona Israel tunaharibu iko Siku na haiko mbali watakuja Kugundua na Kuamini kuwa Israel ulikuwa haipigani kwa ajili ya Maslahi ya Israel bali ni kwa ajili ya Maslahi mapana ya Marekani na Dunia nzima
GENTAMYCINE sijawahi kupenda Vibovu Vibovu na mpaka unaona Avatar yangu hapa JamiiForums tokea nijiunge mwaka 2013 ni ya huyu huyu Mwamba na Mwanamume wa Shoka Benjamin BIBI Netanyahu ( Waziri Mkuu wa sasa wa Israeli ) jua nina uhakika nae, namkubali sana halafu ana Characters ambazo tunafanana kama za 1. Akili Kubwa, 2. Mthubutu, 3. Asiyeogopa, 4. Anajiamini, 5. Mbabe, 6. Msomi mzuri na 7. Muona mbali Kimtizamo na Kimaamuzi.
Asante sana Benjamin BIBI Netanyahu hakika Speech yako ya Jana ya dakika 45 tu na Iliyonyooka ikiwa na Details nyingi za Kijasusi na Kijeshi imethibitisha kuwa Wewe ni Kiongozi Jemedari hasa ambaye si tu Israeli inakuhitaji bali hata Marekani na Sisi Waafrika pia tunakuhitaji.
Tafadhali endelea Kuninyooshea hao Wapumbavu mpaka wajue kuwa Israeli hana Mpinzani hapa Duniani na pia hata Mwenyezi Mungu hakukosea Kuliita ni TAIFA LAKE TEULE.
Imeisha hiyo..........!!!