rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
[emoji3]Ebu fafanua vizuri, huu ni mfano au umeelezea kile ambacho wewe unakifanya?
Kipindi nipo ngudu high school jioni PCB tulikuwa tuna battle la pushups😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁!
Yaani kwa dakika moja anapiga pushup 200, haijawahi tokea dunia iundwePush ups 10,000 sio [emoji23][emoji23][emoji23] Kweli Bongo bahati mbaya
Mbali zaidi,, zaidi ya pushups tatu kwa sekunde moja!Yaani kwa dakika moja anapiga pushup 200, haijawahi tokea dunia iundwe
Mwacheni mwenzenu aendelee ku squirt 50 times a dayMkuu squirt?!nafikiri hicho ni kitu kingine tofauti na alichosema mtoa mada..ila najua ni shida ya hivi vitufe vya kuandikia.
Ninatetemeka mikono kila nikipiga push ups! Yaani najikuta kuna nyakati nashindwa kushika kijikoSalaam wakuu na hongereni kwa kushiriki vita ya kuitokomeza corona
Katika kuweka mwili fiti nimeona Kuna mazoezi mawili yasiyohitaji eneo kubwa, na hata chumbani unaweza kuyafanya, nayo Ni pushups kwa kujenga mwonekano wa juu wa mwili , na squarts kwa kujenga mwonekano wa chini wa mwili
Wapenzi wa mazoezi hayo karibuni mtuambie ulianzaje kupiga push-ups na unamudu kupiga pushups ngapi, squats ngapi na utimamu wa mwili wako ukoje.
Karibuni
Hongera sanaPush up Ni zoezi zuri...
Anza pale ulipo...halafu Hakikisha unajichalenge mwenyewe kila siku..
Mfano leo ukipiga tano.. kesho piga Saba, keshokutwa 8,
Hakikisha unaizidi Jana...
Utakaa sawa TU...
Mimi nilianza na Saba....
Ila Sasa nakimbiza 50+ mzunguuko mmoja
Ahsante kwa ushauri kuhusu push up.Awali nilikuwa naogopa kupata masugu mikononi mkuu.Push up Ni zoezi zuri...
Anza pale ulipo...halafu Hakikisha unajichalenge mwenyewe kila siku..
Mfano leo ukipiga tano.. kesho piga Saba, keshokutwa 8,
Hakikisha unaizidi Jana...
Utakaa sawa TU...
Mimi nilianza na Saba....
Ila Sasa nakimbiza 50+ mzunguuko mmoja
Usiache komaa by any means necessary….nyumbani itakuwa sehemu ya amani sana…Leo nimepiga crunches 350, squats 150
Full uchovu