Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 739
- 1,888
Hellow bosess,
huwa napenda kusikiliza redio mida ya kuanzia saa 5 asubuh had 12 ivi jion na saa 4 usiku mpaka 5 ivi
mda wa kipindi cha redio kizuri nachokijua ni BBC saa 12 radio one
mda wingine wote hua na changua station yoyote tu
Je?, mda na radio gani kuna kipindi kizuri??, ww unapenda kusikiliza kipindi gani cha redio na ni mda gani kinaanza??
huwa napenda kusikiliza redio mida ya kuanzia saa 5 asubuh had 12 ivi jion na saa 4 usiku mpaka 5 ivi
mda wa kipindi cha redio kizuri nachokijua ni BBC saa 12 radio one
mda wingine wote hua na changua station yoyote tu
Je?, mda na radio gani kuna kipindi kizuri??, ww unapenda kusikiliza kipindi gani cha redio na ni mda gani kinaanza??