Wapenzi wa rooftops (migahawa na kumbi zilizopo juu ghorofani) njooni hapa

Muweke na bei jamani, maana hilo ndio la msingi..
Mkubwa Tater wala hakuna gharama za hivyo, ukitoa usafiri wa kukufikisha eneo husika hata 50k unaweza kuenjoy inategemea umeenda na nani na unakunywa/kula nini. Mi kwa kawaida sikuwa na kampani yyte nilikuwa tu mwenyewe na mawazo yangu kichwani. Kwa hio mpaka ninaondoka eneo husika 80K ama 60K inakuwa imeungua. Msosi ndio unakuwa unanigarimu sana maana nipo too much selective.
 
Sky hotel Ramada ila nilikuwa navizia sana muda wa happy hour navizia monde za kitonga.
 
Mkuu Kaizer mimi mzee kuliko wewe na naenjoy kweli, Fanya siku uende
 
Pamenivutia kwa uwepo wa machangu
 
wakati ule akitawala mfalme Kaisari, na Herode akiwa Liwali. zamani sana

kwa taarifa zaidi ndugu yangu wa karibu ni babu Asprin...yaani tumebaki hawa watoto wabichi kama kina espy tunawaangalia tu
Ungeniangalia tu si ningefurahi.
 
wakati ule akitawala mfalme Kaisari, na Herode akiwa Liwali. zamani sana

kwa taarifa zaidi ndugu yangu wa karibu ni babu Asprin...yaani tumebaki hawa watoto wabichi kama kina espy tunawaangalia tu
Naam, ndugu yangu. Hakika mwenye macho hajapata kuona na mwenye masikio hajapata kusikia
 
Katib Mkoa naungana na son_of_masia maisha yanatofautiana sana sana. Wewe umejikaza unatumia 80000, anakuja mtu anaagiza chupa ya wine ya dola 350 tena hana habari kabisa. Maana kuna wengine kuweka shilings kwenye wallet ni mzigo ni mwendo wa foreign currency tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…