Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Original zinabebwa kwenye kapu? Hazina maboksi silidi?
Walakini kweli nilitaka mcheki nimesita kwanza.Original zinabebwa kwenye kapu? Hazina maboksi silidi?
Hyo inatakiwa kutoa frp lock ungekuwa arusha ningekusaidiaNina s8 yangu imezima ghafla inaandika "custom binary blocked by frp" wataalam wa mambo nisaidien
Hyo inatakiwa kutoa frp lock ungekuwa arusha ningekusaidia
Mkuu jibu ni rahisi sana unatakiwa utofautishe original, fake, used, brand new au refurbished. Hizi za kwetu ni original used. Sasa box kwenye simu used inatoka wapi. Ila ukitaka box unapewa. Watu wengi ndo wanauziwaga mbuzi kwenye gunia. Wengi wanaochukua simu za jumla hutafutia box na kuwapeni kama mpya.Original zinabebwa kwenye kapu? Hazina maboksi silidi?
Poa mkuu nimekupataMkuu hizi sio brand new zikawa na box ila mkitaka na box mtapewa hahah
Karibu sana tunaweza kukuletea popote ulipo kama uko Dar unacheck ukiridhika sawa ukiona huzielewi unapotezea. Hatuna mashaka na simu zetuMimi siendag kariakoo kbs...hizo ndo simu sasa kuliko yale ya kariakoo fekifeki
Sent using Jamii Forums mobile app