Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau na wapenzi wote wa soka Tanzania
Nawataarifu Jumamosi Oktoba 21,2023 saa 2 asubuhi kutakuwa na shughuli maalumu kuwafariji Wana Simba kwa kipigo watakachopata kutoka Mabigwa wa Africa Al Ahry ya Misri.
Ni sisi wapenzi wa Yanga hapa Salasala mwisho wa lami tumeamua kuchangishana Fedha na kununua birika 3 za Kahawa na Kashata za kutosha.
Ni njia ya kuwapa pole Ndugu zetu hao kwa kipigo watakachopata kutoka kwa mabigwa wa Africa Al Ahly ya Misri
Tunaomba tujumuike pamoja siku hiyo na Watani zetu wa Msimbazi
Aksanteni sana
Nawataarifu Jumamosi Oktoba 21,2023 saa 2 asubuhi kutakuwa na shughuli maalumu kuwafariji Wana Simba kwa kipigo watakachopata kutoka Mabigwa wa Africa Al Ahry ya Misri.
Ni sisi wapenzi wa Yanga hapa Salasala mwisho wa lami tumeamua kuchangishana Fedha na kununua birika 3 za Kahawa na Kashata za kutosha.
Ni njia ya kuwapa pole Ndugu zetu hao kwa kipigo watakachopata kutoka kwa mabigwa wa Africa Al Ahly ya Misri
Tunaomba tujumuike pamoja siku hiyo na Watani zetu wa Msimbazi
Aksanteni sana