Wapenzi wasikilizaji na wapenzi watazamaji....

Niliwahi kuwa na mshikaji tu wala si mpenzi kivile maana nilimpiga dochi mapemaaaa. Yeye alikuwa anapenda sana umbea hrough Instagram, Facebook, na other platforms. Akija home kwangu, ni kushinda kuangalia bongo movie zake anazokuja nazo na kusikiliza her stupid bongo fleva. Baada ya kumsoma kuwa ni limbukeni, nilianza kumpiga marufuku kusikiliza fleva na bongo movie ila akawa anakomaa na umbea. Nikamfukizia mbali.
 
Haijanigusa
Imepita tu kama harufu ya chooni

Umeona sasa,..sasa unatwambia unaenda nje ya nchi kwan wengin unajua tuko wapi,..yanatuhusu nn sisi hayo,..unaenda Dubai unarudi unasema nje ya nchi,..
 
 
Asante kwa mwaliko I wish ningeweza kuja. Ila sapoti utapata kwa kupata nakala moja ya kitabu.
 
Kweli 50 cents ameteka dunia, hadi kwenye mahusiano mambo tafrani cent zinaleta utata jamani
 
Ukimaliza kulia lia uje u subscribe hapa

DADA WA MAPENZI NOMA SANA, MWANDISHI
MKALI, WA UKWELI
AMEKUJA SASA LIVE KWA YOU TUBE

BONYEZA HAPA UMWONE

USISAHAU KU SUBSCRIBE
una yogurt ya maana hapo kifuani...
one more thing toa hayo matambala tuone hiyo housing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…