Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Hatari sana. Wanasaynsi uchwara wanakujaAna ugonjwa wa kutembea huku yuko usingizini. Ni noma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana. Wanasaynsi uchwara wanakujaAna ugonjwa wa kutembea huku yuko usingizini. Ni noma sana.
Dolotia kwagala,Kipepeo
Mamamia
Badilisha
Anapenda vitu vya bei Kali
Kwa ajili yako akiwa na Prof Jay
N.k
Daah huyu jamaa ni nouma
Hakuna anachonifurahisha nacho Jose Chameleon kama bitrates/midundo iliyoshiba, viitikio na umaliziaji wa miziki.Yuko UG,alipitia changamoto ya kuuguaugua,nadhani saa hizi yuko njema.
Achakuliaaa ,shidaa za duniaaa ,n noomaKipepeo
Mamamia
Badilisha
Anapenda vitu vya bei Kali
Kwa ajili yako akiwa na Prof Jay
N.k
Daah huyu jamaa ni nouma
Wewe ni muongo!Hakuna anachonifurahisha nacho Jose Chameleon kama bitrates/midundo iliyoshiba, viitikio na umaliziaji wa miziki.
Pia ana sauti inayojitosheleza mno kwa pumzi ya kuimba mda mrefu bila ya kukatisha sauti(kuweka weka vituo).
Nyimbo zake huwa zinaniondolea sana stress kwa 70%, kunipa elimu na kuniburudisha sana.
Shida za dunia.....!!Dolotia kwagala,
Mama Rhoda,
Naomba uniamini,
Jamila analia.
Yani kiukweli huyo Jamaa nyimbo zake huwa haziishiwi utamu kamwe
Bonge ya nyimbo hii... wanakusifu ukishaenda....basiima ugenze (wanakusifia ukiondoka
Jamaa anagonga beat imeshiba , beat nzito Kias kwamba hata spika za Sony zinatendewa haki , chameleon alikuwa anajiweza Sana , sio Hz za bongo fleva za sa hv beat laini full screaming aaahHakuna anachonifurahisha nacho Jose Chameleon kama bitrates/midundo iliyoshiba, viitikio na umaliziaji wa miziki.
Pia ana sauti inayojitosheleza mno kwa pumzi ya kuimba mda mrefu bila ya kukatisha sauti(kuweka weka vituo).
Nyimbo zake huwa zinaniondolea sana stress kwa 70%, kunipa elimu na kuniburudisha sana.
Jamaa ana kansa, nadhani kama kawaida ameshaambiwa siku alizobakiwa nazoMwishoni mwa mwaka 2021 alikua icu uganda akipambania uhai cjui anaendeleaje