Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Duhhh.....Alikuwa kwenye himaya tangu zamani.
Roho yangu imefanya Pahh[emoji298] [emoji770] [emoji294]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhhh.....Alikuwa kwenye himaya tangu zamani.
Mara ya mwisho nilikutana naye KT, alisema yuko busy na vyumaNi kweli nashangaa katulia sana huyo bi Dada.
Ukimpata mwambie yule jamaa wa Songwe anakuita huku JF.
Njema, yeah nina kama siku ya tatu nilikuchek wasap kuna namba ako moja sjui umeitupia wapiMadam za jioni, usharudi?
Njema, yeah nina kama siku ya tatu nilikuchek wasap kuna namba ako moja sjui umeitupia wapi
Nisaidieni kujua alipo huyu dada amepotea humu ghafla hadi natetemeka.
Mhh na namba pia??Nimebadili simu, setting zinanichanganya za hii simu mpya, technology yenu hii wazee tunaivamia.