Wapi alipo winga teleza Ramadhan Singano ""Messi""?

Tatizo lilianzia pale mlipoanza kumuita Messi
 
Tatizo lilianzia pale mlipoanza kumuita Messi
Umbo lake dogo, guu lake la kushoto hivyo kwa maoni ndio vilifanya mashabiki wa simba wamfananishe na muargentina Lionel Messi, pengine kwa bahati mbaya alilewa sifa akasahau kuweka jitihada zaidi matokeo yake akapotea kwenye ramani ya soka la kibongo mapema mno.
 
Jamal kaja Simba aongeze ushindani ktk namba yake, anapangwa anayestahili, sio akija tu ni namba yake. Hata Niyonzima amatakiwa apambane na Ndemla akishindwa benchi linamuhusu.
 
Hajapotelea simba, kapotelea akiwa Azam.
 
Paul Nonga.
 
Ina maana dogo kachuja kiasi kwamba hawekwi ata kwenye wachezaji wa akiba? Alinivutia sana na uchezaji wake akiwa simba, watu walimtabiria mengi ila nasikitika kuona hajafika mbali.
Yupo SUB na pia anacheza mechi za Majeruhi!
 
Umeongea vizuri. Pale Azam, namba ya Singano INA upinzani mkubwa Sana. Na kukaa bench Si kitu cha ajabu. MWADINI ALLY alipokwa namba na AISHI, akasugua! Na sasa kuna ABAROA, bado MWADINI anasugua! Akicheza basi ni pale Abaroa anapokuwa na shida!
 
Mbumbumbu watakuambia hata AJIBU hana kiwango. Watamsema hata TAMBWE
 
Suala la kucheza ni maamuzi ya kocha kwa kadri ya programu ya timu na mipango ya kocha kwa mechi husika iwe Simba au Yanga.
Kwa suala la Singano, nafikiri bado wachezaji wetu wanahitaji kuwa na washauri wanaoweza kuwajenga vema kabla hawajachukua hatua ya kufanya maamuzi yanayoweza kuathiri future yao.
 
Vipi Kuhusu Didier kavumbagu
Huyu jamaa naye kapotea
Fasta
Anaenisikitisha ni AME ALLY "ZUNGU", Kutoka MTIBWA to AZAM, to SIMBA na sasa KAGERA na huko na anasugua
 
Umenena vyema kabisa mkuu, washauri ni watu muhimu sana, kwa kiasi fulani wachezaji wetu wa nyumbani wameanza ku improve ata kwenye press zao.
 
siyo kweli kipaji na ukijituma huwa hakipotei na team ni nyingi mnooo si tz tu sammataalilazimisha na ajkaondoka simba now unajua aliko fika??? tafakari
 
Umenena vyema kabisa mkuu, washauri ni watu muhimu sana, kwa kiasi fulani wachezaji wetu wa nyumbani wameanza ku improve kwenye press.
 
Umenena vyema kabisa mkuu, washauri ni watu muhimu sana, kwa kiasi fulani wachezaji wetu wa nyumbani wameanza ku improve kwenye press.
Ahsante kwa kuliona.Hao akina Yaya Toure na wengine wametoboa kwa ajili hiyo.Hata Samatta angekuwa na papara, asingefanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…